Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Mabingwa watarajiwa Azam fc leo wanapambana na Mabingwa Zilipendwa hapo Taifa mishale ya Sa 10 jion.

AZAMTV ,TBC Taifa na JF Zitawaletea live mtanange huo toka Temeke,Dar,Tanzania.

Lineups zitafuata baadae.

[URL=https://www.jamiiforums.com/us
 
Toka timu kiboko ya waarabu aka mnyama mkali Simba sports club ipate misuko suko na kuwa dhoofu hali sasa ligi imepoteza mvuto.
 
Toka timu kiboko ya waarabu aka mnyama mkali Simba sports club ipate misuko suko na kuwa dhoofu hali sasa ligi imepoteza mvuto.
Kakuongopea nani? Ligi hainogi upande wenu tu lakini upande wetu (Azam & Yanga) inanoga ile mbaya.
 
Toka timu kiboko ya waarabu aka mnyama mkali Simba sports club ipate misuko suko na kuwa dhoofu hali sasa ligi imepoteza mvuto.

Simba kiboko ya waarabu wapi unawajua HARAS EL HADOOD wewe halafu na Tanga si kuna waarabu wengi nadhani habari ya MGAMBO SHOOTING unaijua sasa sijui unawasema waarabu wap.
 
Back
Top Bottom