Mchawi mkubwa wewe, umelewa viroba. Watu ni wengi na sasa.Wakuu niko hapa lakini watu ni wachache sana, baadhi ya wabunge wa CDM wameshaondoka na wengine wanaondoka sasa, kwa kweli hali ni mbaya sana hapa Dodoma, watu ni wachache sana, wako bizy na shghuli za ujenzi wa Taifa