Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Updates: Mkutano wa CHADEMA Dodoma leo...

Mimi kama mwana wa dodoma ambaye naishi kwenye ngome ya cdm arusha nafarijika sana na hamasa ya mabadiliko huko dodoma nyumbani kwangu, wzkati wa kutoka kawenye utawala wa magamba umewadia........ Peeeeeeeeeeeeeeoples......
 
Achaneni na huyo abunuasi mkoloni mweusi anatafuta bwana wa kulala nae jiöni hii,tujuzeni wakuu.
 
Nashangaa kwa nini CDM wanafanya kazi ya tume, kuhimiza watu waende kujiandikisha ni kazi ya Tume, sisi hapa tumefuata hoja na sera na si kazi za tume ya uchaguzi...Mh. Arfi heshima yako Mzee.
 
Mbowe anavalishwa na kiongozi wa kimila wa wagogo huku ngoma za asili zikipigwa.
 
Makamanda mbowe, nasari, afri, wanapewa uchfu na vit maalum mpya anapewa ulez
 
Nashangaa kwa nini CDM wanafanya kazi ya tume, kuhimiza watu waende kujiandikisha ni kazi ya Tume, sisi hapa tumefuata hoja na sera na si kazi za tume ya uchaguzi...Mh. Arfi heshima yako Mzee.

Wewe mkoloni acha ukoloni, sera kwani hapo dodoma kuna uchaguzi? Watu wanapewa elimu ya uraia na ni kazi ya chama cha siasa kuhamasisha wadau wake wajiandikishe ili waipigie kura cdm, acha uchawi wewe!
 
Mimi kama mwana wa dodoma ambaye naishi kwenye ngome ya cdm arusha nafarijika sana na hamasa ya mabadiliko huko dodoma nyumbani kwangu, wzkati wa kutoka kawenye utawala wa magamba umewadia........ Peeeeeeeeeeeeeeoples......
 
Kiöngozi wa kimila anatoa wosia kwa viongozi wapya akiwaambia hawezi kuwapa kiti cha miguu mi3 kwasababu atakaa hivyo atapewa akiwa kasimama ili awempiganaji vizuri.
 
Nashangaa kwa nini CDM wanafanya kazi ya tume, kuhimiza watu waende kujiandikisha ni kazi ya Tume, sisi hapa tumefuata hoja na sera na si kazi za tume ya uchaguzi...Mh. Arfi heshima yako Mzee.

Baki ukishangaa hivyohivyo! Sisi tunasonga
 
Mbowe anasema kule ambpo chama kimejengeka watu wamekufa wameumia. Watu wa dom wamejaa hofu. Watz wa dom wanawachelewaesha wa tz wengne
 
Anauliza dom wakitisha maandamano dom watatoka zaidi ya wanachuo?
 
Mbowe anaanza kuongea huku akisema anakubaliana na chifu wa wagogo kuwa chama kihamie Dodoma. Anasema Dom wananukia uwaridi kwasababu magamba wakishiba nao wanashiba kwa upepo. Huwezi kutaka mabadiliko ukiwa muoga. Anawapongeza viongozi wa Udom kwani wameanza kuonyesha chachu ya upiganaji. Tunakuja Dom maranyingi bt mnanukia waridi, mkoawenu ndo anatoka mbunge maarufu wa misamiati ya matusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom