I love jf jamani! Yani najisikia raaaha kama vile niko dom! Jf juuuuuuu! Nina hamu ya ukombozi zaidi ya ninavyokuwa na hamu ya kitimoto
Kwa nini CHADEMA Lazima impandishe ZITTO jukwaani kila inapoenda?
Kama hivi
Yatia moyo sana!! Inabidi wakinukishe Mwanza soon, hiyo damu haiwezi mwagika hivihivi bila watu kuwajibishwa!!
It's either now or never!!
Kwa nini CHADEMA Lazima impandishe ZITTO jukwaani kila inapoenda?
Siku zote CDM inakubalika kwa kuwa Mipango na Njia za Mungu hazichunguziki kamwe. CDM forever,
.......kama msiba wa sk!!!!!!!!!Media zina mambo mengi ya kureport katika jamii sio siasa tu!
Asante sana Imany John kwa picha.Mabadiliko yanaendelea.
Mkuu kwanza niombe radhi kwa kuniita GAMBA,Magambaz, si mtuletee updates za mjengoni, Tume ya Katiba & Co pleeeeeeeeeeese!!