Maandalizi ya uwanja wa mkutano yanaendelea,makamanda wote wapo Dodoma Tangu jana.mkutano utaanza saa saba mchana huu.
Tunaomba muwe kama Wana JF wa A town mtupe taarifa na picha.
Jama nami natokea maeneo ya hombolo nielekezen vilipo viwanja vya barafu
hakika ndipoWadau wamenielekeza kua,ukifika dodoma mjini ulizia uwanja wa jamuhuri,au shule ya sekondari ya jamuhuri hapo utakuwa umefika viwanja vya barafu.