Juzi mlipolifungia mwanahalisi,halafu wengine wakaalikwa kwenye press conference ya mkulu,nilijuwa hii ni mbinu ya serikali kuweka "signature ya hofu" kwa wanaharakati,wanahabari nk.Ni kama a "carrot and stick" policy.Na ninafahamu kuwa serikali ni kama inafurahia hofu ambayo inaweA ikawa imetokana na tukio hilo, na huku kwa upande mwingine, ikijiweka mbali na uhusikaji wa tukio hilo, so usidhani humu JF ni wajinga.Sasa naona kama mnataka kujustify matendo yenu ya kinyama.I can't even believe you got balls to say this stuff.Kweli only in Tanzania...