Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,759
- 218,380
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Taarifa ya sasa iliyotolewa na Tundu Lissu mwenyewe inaonyesha kwamba Tayari Lissu yupo Uwanja wa Ndege wa Brussels kwa ajili ya kurejea nyumbani.
Amesema kwa mujibu wa ratiba ya safari ilivyo, asubuhi atakuwa amefika Addis Ababa, Ethiopia na kwamba baadaye saa 7 na dk 35 atakuwa JK Nyerer Airport DSM.
Tunamtakia safari njema.
Amesema kwa mujibu wa ratiba ya safari ilivyo, asubuhi atakuwa amefika Addis Ababa, Ethiopia na kwamba baadaye saa 7 na dk 35 atakuwa JK Nyerer Airport DSM.
Tunamtakia safari njema.