Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Halafu pesa yangu nitaruhusiwa kuichukua au tukachukua mapema tuweke chini ya mito.....je hivi la laini wameanikiwa kiasi gani na ni baada ya muda ganikuna habari kuwa kila mwenye account bank anatakiwa ku-update kwa kujaza form kama vile anaanza kufungua account upya,nimesikia mwisho ni tarehe 31 march 2012 na ikifika tarehe hiyo bila ku-update account unafungiwa akanti yako..mwenye taarifa ya uhakika atujuze na consequence kwa atakaepuuza!