Update za bank account

Kayla

JF-Expert Member
Apr 13, 2011
256
77
kuna habari kuwa kila mwenye account bank anatakiwa ku-update kwa kujaza form kama vile anaanza kufungua account upya,nimesikia mwisho ni tarehe 31 march 2012 na ikifika tarehe hiyo bila ku-update account unafungiwa akanti yako..mwenye taarifa ya uhakika atujuze na consequence kwa atakaepuuza!
 
Huo ndiyo ukweli kwa benki nyingine kama NBC kuanzia wiki iliyopita huwezi kuchukua pesa ATM bila kuwa umeupdate account yako yalinikuta last week nikiwa safarini
 
kuna habari kuwa kila mwenye account bank anatakiwa ku-update kwa kujaza form kama vile anaanza kufungua account upya,nimesikia mwisho ni tarehe 31 march 2012 na ikifika tarehe hiyo bila ku-update account unafungiwa akanti yako..mwenye taarifa ya uhakika atujuze na consequence kwa atakaepuuza!
...mkuu ata mimi nimeziskia taarifa hizi kama wewe,nina-maana sina uhakika wakutosha kukudhibitisha hilo...kama hizi taarifa ni zakweli basi mabenki yatumie anuani na namba zetu za simu tulizojaza awali kwenye fomu tulizofungulia hizo akaunti kukutaarifu kuhusu hayo mambo mapya...
 
Hakikisha una cash ya kutosha (kwa kutoa kiasi cha kutosha kwenye account) kwa wiki mbili au zaidi wakati unaendelea na mchakato wa ku update account yako.

M Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money
 
Kwa bank ya CRDB deadline ni leo, Barclays 31st March, Akiba 15th March....nimesikia Twiga Bancorp hadi April.

Please notify all your friends wenye account zao CRDB.
 
Exim? Hawa hata web yao haioneshi kama kuna chochote kinatokea. Wengine hata hatupo nyumbani na kuja huko majaaliwa.

Hatutaibiwa kweli?
 
taarifa za KYC (know your customer)zina zaidi ya mwaka ila wabongo kwa zima moto hatujambo.
 
Ni kweli nilienda CRDB ku update kwa kifupi wanataka uhakiki wa address yako, yaani kitambulisho chenye eneo unaloishi, kadi ya kupigia kura, kitambulisho toka serikali ya mtaa, dole gumba, sahihi na declaration ya kipato chako kwa mwaka. Zoezi la dkk 5 kama umeenda na copy zako. CRDB walisema mwisho 31st March. Nilipowauliza mbona hawataarifu wateja kwa email badala yake wamebandika tangazo mlangoni hawakuwa na jibu badala yake ilionekana kama kichekesho.
 
Eti lengo ni kuzuia fedha haramu. Yaani kama lengo lao ni kuwabana kina chenge, iweje wasumbue watu tunaoishi vijijini ketaketa na tanganyika masagati. Kufika benki tu ni bajeti ya kula ya wiki moja. Wajinga kweli hawa kina ndulu na mkulo
 
Ni kweli nilienda CRDB ku update kwa kifupi wanataka uhakiki wa address yako, yaani kitambulisho chenye eneo unaloishi, kadi ya kupigia kura, kitambulisho toka serikali ya mtaa, dole gumba, sahihi na declaration ya kipato chako kwa mwaka. Zoezi la dkk 5 kama umeenda na copy zako. CRDB walisema mwisho 31st March. Nilipowauliza mbona hawataarifu wateja kwa email badala yake wamebandika tangazo mlangoni hawakuwa na jibu badala yake ilionekana kama kichekesho.
kwa hoyo deadline siyo leo kama alivyosema mkuu hapo juu ni tarehe

31/march/2012 maana wengne tupo mbali kweli
 
hivi wadau kwa wale ambao ndugu zao wapo nje ya nchi kwa muda flan lakin wanategemea kurud na wana viamana vyao kwenye a/c inakuwaje?
 
Kwa bank ya CRDB deadline ni leo, Barclays 31st March, Akiba 15th March....nimesikia Twiga Bancorp hadi April.

Please notify all your friends wenye account zao CRDB.

Tatizo la Taasisi za SErikali ni kwamba huwa wanaanzisha utaratibu kisha utekelezaji wake ni muda mrefu. Leo wanatangaza Deadline lakini utashangaa hili ni zoezi ambalo ni kubwa sana. sidhani kama wanaweza kuwafikia watreja wote kwa kipindi kifupi hiki,

mfano kulikuwa na utaratibu wa kubadilisha Leseni za kuendesha magari (driving License) wakatoa na deadline, lakini mwisho zoezi likawa nigumu hivyo wakabadilisha utaratibu.

Mfano mwingine kulikuwa na zoezi la kusajili namba za Simu, wakatupelekesha mbio na deadline zao, mwisho imekuwa kimya, leo unaweza kununua line mpya na ukaitumia upendavyo pasipo kusajili.

HIVYO SERIKALI HUWA INAKUJA NA MAMBO YA ZIMAMOTO TU.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
kuna habari kuwa kila mwenye account bank anatakiwa ku-update kwa kujaza form kama vile anaanza kufungua account upya,nimesikia mwisho ni tarehe 31 march 2012 na ikifika tarehe hiyo bila ku-update account unafungiwa akanti yako..mwenye taarifa ya uhakika atujuze na consequence kwa atakaepuuza!

kwa mujibu wa benki kuu mwisho wa ku-update info ni tarehe 15 march ila haimaanishi kwamba ukienda tarehe 16 document zako hazitapokelewa, muhimu ni kuhakikisha kua ume-update bank info zako kama inavyotakiwa na hii ni kwa faida yetu wateja
 

Tatizo la Taasisi za SErikali ni kwamba huwa wanaanzisha utaratibu kisha utekelezaji wake ni muda mrefu. Leo wanatangaza Deadline lakini utashangaa hili ni zoezi ambalo ni kubwa sana. sidhani kama wanaweza kuwafikia watreja wote kwa kipindi kifupi hiki,

mfano kulikuwa na utaratibu wa kubadilisha Leseni za kuendesha magari (driving License) wakatoa na deadline, lakini mwisho zoezi likawa nigumu hivyo wakabadilisha utaratibu.

Mfano mwingine kulikuwa na zoezi la kusajili namba za Simu, wakatupelekesha mbio na deadline zao, mwisho imekuwa kimya, leo unaweza kununua line mpya na ukaitumia upendavyo pasipo kusajili.

HIVYO SERIKALI HUWA INAKUJA NA MAMBO YA ZIMAMOTO TU.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
.
Hii ndio bongo land bana!
 
Tatizo wametoa muda mfupi na benki nyingi hazijatoa taarifa kwa wateja wao
 
Back
Top Bottom