Kayla
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 256
- 77
kuna habari kuwa kila mwenye account bank anatakiwa ku-update kwa kujaza form kama vile anaanza kufungua account upya,nimesikia mwisho ni tarehe 31 march 2012 na ikifika tarehe hiyo bila ku-update account unafungiwa akanti yako..mwenye taarifa ya uhakika atujuze na consequence kwa atakaepuuza!