Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Natamani na mimi ningekuwa Arusha nijumuike na mapambano dhidi ya haki. Nchi imefika pabaya sana kwa mkuu wa mkoa aliyechaguliwa na watu wawili tu (Riziwani na Jakaya) kuamuru mbunge aliyechaguliwa na watu zaidi ya 50,000 akamatwe kirahisi tu, tena bila staha wala heshima. Hiki kiburi cha maCCM kitawaghalimu. Kama wanatenda hivyo kwa mbunge, je inakuwaje kwa mlalahoi wa kawaida.
Nawaunga mkono wana Arusha na mikoa ya jirani kwa uamuzi wenu wenye kuakisi upeo wa hali ya juu na ukomavu katika kudai haki
Nawaunga mkono wana Arusha na mikoa ya jirani kwa uamuzi wenu wenye kuakisi upeo wa hali ya juu na ukomavu katika kudai haki