Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
HUYO RC ni member of Chadema, ni kweli yako, he is just giving a lot of milage to Lema. huyu Lema angefifia kisiasa kama RC angetaka, The other thing nimeifikiria sana na maoni yangu ni kuwapengine ni siasa za CCM kuhakikisha Lema anaendelea kuwa mbunge wa Arusha, and they are leading him to create lots of blunders and in the process anakiangamiza Chama chake. kwa kweli hivi sasa ukitembea Arusha hata zile sehemu alipokuwa na absolute support, watu wameshaanza kumuona kama ni pasua kichwa.
Hizi issues na mambo anayofanya Lema inakidhalilisha chadema and weakens them, na haswa kiongozi Mbowe anayeonekana kuwa Lema ni kipenzi chake na Trouble shooter wake ndani ya chama.
I will always repeat this " Lema is a bigger liability to Chadema" and nobody should be above the party, Chadema ni lazima wakae kikao na wakiweka chama vizuri, kwa kuhakikisha hawa wabunge wanaokivutia chama mabaya na uchafu are controlled.
Umeandika kama mtu aliyechanganyikiwa.Pole sana.Lema atawamaliza mwaka huu.Mtatafutana..!!