Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

Upepo tu huu yatapita na nchi itakua shwari kabla ya 2015
 
jamani naomba msaada kujuwa hatima ya lema ya kusumbua jeshi la taifa na kuchochea vurugu atapona kweli pamoja na vijana wa arusha kutaka kumtetea......chama ambacho kinaangaliwa sasa hivi kuwa kiinaweza leta mabadiliko baadae member wake wanafanya mambo ya namna hiyo
Ili uonekane una busara na hekima ungeandika cha kuwaridhisha wao.....tena ungeitwa kamanda
 
Hiyo ni sehemu ya siasa. Lema ni mwana siasa na anafanya kama siasa ilivyo na inavyotaka. Kwa vyovyote ataibuka mshindi hata kama atafungwa! Yalimkuta Nyerere na wakoloni wakajiuliza hilo swali. Yalimkuta Jomo Kenyata na wakoloni wakajiuliza hilo swali. Mandela ndo walimfunga miaka 27. Wote hao waliibuka kidedea kama Lema atakavyoibuka!
 
jamani naomba msaada kujuwa hatima ya lema ya kusumbua jeshi la taifa na kuchochea vurugu atapona kweli pamoja na vijana wa arusha kutaka kumtetea......chama ambacho kinaangaliwa sasa hivi kuwa kiinaweza leta mabadiliko baadae member wake wanafanya mambo ya namna hiyo

Kazi ipo,mkishajua kusoma na kuandika mnakuja kufanya humu mazoezi.
 
jamani naomba msaada kujuwa hatima ya lema ya kusumbua jeshi la taifa na kuchochea vurugu atapona kweli pamoja na vijana wa arusha kutaka kumtetea......chama ambacho kinaangaliwa sasa hivi kuwa kiinaweza leta mabadiliko baadae member wake wanafanya mambo ya namna hiyo

mkuu mtoto ameiba password yako nn?
 
jamani naomba msaada kujuwa hatima ya lema ya kusumbua jeshi la taifa na kuchochea vurugu atapona kweli pamoja na vijana wa arusha kutaka kumtetea......chama ambacho kinaangaliwa sasa hivi kuwa kiinaweza leta mabadiliko baadae member wake wanafanya mambo ya namna hiyo
Sina shaka ukiwa kwa magamba yale manguo ya kijani yanawatoa akili kabisa unakuwa mwehu kama huyu aliyeleta huu uharo hapa...
Nepi kazi unayo kuwadhibiti watu wa dizaini hii maana wamefuata akili kama ya viongozi wao za kimipasho mipasho tuu..
 
kama huna cha ku post kaa kimya au unaogopa kuwa Mkono hautaenda kinywani(lumumba)? ila magamba wenzako kama Mwigulu na lusinde wanaona hii bonge ya post!!
 
jamani naomba msaada kujuwa hatima ya lema ya kusumbua jeshi la taifa na kuchochea vurugu atapona kweli pamoja na vijana wa arusha kutaka kumtetea......chama ambacho kinaangaliwa sasa hivi kuwa kiinaweza leta mabadiliko baadae member wake wanafanya mambo ya namna hiyo

Inaelekea we ni mrundi jinsi ulivyoandika hiyo lafudhi ya Kirundi.
 
Kufanya ubabe dhidi ya haki ni maamuzi mabaya kama kuamua kabisa kua Uchi mbele ya umati. Watu wachache wanaamua kwamba tufanye nini kwa hii mijinga mitanzania. Yaani mnasubutu kumfunga mtu bure kisa kawashinda ujanja!!!!!!!!!
No problem as God does not eat Chapati
 
Jiji la Arusha kesho litarindima pale mbunge wa Arusha mjini na kipenzi cha wakaazi wa mkoa huo Godbless Lema atakapopandishwa kizimbani kujibu mashtaka ya uchochezi aliyofunguliwa kwa amri ya mkuu wa mkoa huo Magessa Mulongo.

Tayari jijini hapa kuna hekaheka kubwa ambapo maelfu ya wafuasi wa Chadema na wananchi wengine wa kawaida wameapa kufurika kesho mahakamani kama ishara ya kumuunga mkono mbunge wao na pia kumuonyesha mkuu wa mkoa huo Magessa Mulongo kwamba vita anayopigana na Lema kamwe hatafanikiwa.

Tayari kuna taarifa pia kuwa wafuasi wa Chadema kutoka mikoa ya jirani hasa Kilimanjaro na Manyara watawasili jijini Arusha alfajiri ya Jumatatu kumsindikiza Lema mahakamani.

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari na Mbunge wa Kawe Halima Mdee wako njiani sasa wakitokea Dodoma kuja Arusha kuungana na maelfu ya wananchi kumsindikiza Lema mahakamani.

Inasemekana pia tayari kuna malumbano makali kwa makada wa CCM hapa Mkoani ambapo wamemlaumu mkuu wa mkoa kwa kuzidi kumpa umaarufu Lema hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa madiwani wa kata zipatazo nne hali inayoipa Chadema ushindi mkubwa kwenye chaguzi hizo.
 
RC anapenda sana kumpa Lema Promo!...Tatizo lao kubwa ni kutokujua kuwa impact yake inasambaa Tanzania nzima tena kwa speed ya light...
 
Back
Top Bottom