Kauli ya msemaji wa CCM Arusha jana ilionesha ni kiasi gani viongozi wa CCM walivyohuzunishwa na hatua ya mkuu wa mkoa kuchafua hali ya hewa kwa kumkamata lema, kufunga chuo na kutoa kauli za vitisho ilhali hakukuwa na ulazima wa kufanya hivyo. Kwa experience yangu na serikali ya Tanzania huyu mkuu wa Mkoa atashushwa cheo chake haraka sana kwa kukiharibia chama