Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

Update: Lema kufikishwa Mahakamani Jumatatu

I have decided to declare interest....mie huwa nakodi mashamba morogoro...mpaka sasa kuna sehemu washavuna mahindi mabichi (hayo wanayokula dar)..Lengo la kuvuna na kuuza haya mabichi...ni kuwahi mvua hizi ili kupanda mahindi ya unga!
Hiyo ni moja ya other sources of income mbali na employment yangu...naishi dar but kesho nitakuwa Arusha kama vipi tutaonana...

Karibu mkuu ila mimi huwaga sipotezi muda kwa mambo yasiyo na manufaa kama maandamano yasio na kichwa wala mguu . Sio vibaya ukani pm nikuonyeshe mji na kubadilishana mawazo . Ila angalia usije na sumu nyekundu aliyokuwa nayo saa9 (chemical ali )
 
Mkuu kweli sikuelewi umeandika nini . Ila nadhani we ni mgeni arusha au hata labda hujawai kufika unaiosoma kwenye magazeti tu. Ungekuwa unaifahamu arusha ndio tungeweza kujadiliana hapa .
Kwa akili zako una haki ya kutoelewa, pole sn kwa kichwa kigumu!
Dunia ndio ilivyo kuna ma'slow learner kama wewe wengi tu, hauko peke yako.
 

....now …….“The plan has backfired”……

cc

Magamba (akili ndogo)


 
Karibu mkuu ila mimi huwaga sipotezi muda kwa mambo yasiyo na manufaa kama maandamano yasio na kichwa wala mguu . Sio vibaya ukani pm nikuonyeshe mji na kubadilishana mawazo . Ila angalia usije na sumu nyekundu aliyokuwa nayo saa9 (chemical ali )
Traitor @chorus of his dirty, devilish, demonic and satanic work!
Shindwa shetani.
 
Kwasasa kila wanalofanya magamba ni kama mtu anayekufa kesho........Hili Janga walilojichumia litawakocost sana na ngoja uchaguzi upite kwa wao kudondokea pua watashikana uchawi mbaya. Usiombe mpo finali analafu unajifunga goli dk 89
 
DUH.. kumbe wewe unaweza kutukana Umma wa watu na usipigwe ban, Unawezaje kuita watu Ngombe, kuna wengi tuu wanachama wa CCM, na hizi ndizo siasa za Kihuni sinazi Kiharibia the only strongest opposition party. Critisice a person but not a whole nation.

Mkuu tulia na chagua lugha ya kutumia!
 
Mh. Lema anaudhalilisha ukoo wa Lema. Sijawahi kukutana na Lema kilaza kama huyu ndugu yangu Mh. Lema.

Afungwe kwa maslahi ya taifa.
Kweli wewe ni "sumu" Hivi ulishiriki kumwakembe eti! njaa itakuua!!
 
Mh. Lema anaudhalilisha ukoo wa Lema. Sijawahi kukutana na Lema kilaza kama huyu ndugu yangu Mh. Lema.

Afungwe kwa maslahi ya taifa.

Umeachika kwenye ukoo wa Lema?? au ulipigwa Kabaang??
 
Kamanda Lema tuko pamoja! Wana arusha wote mjitokeze kwa wingi kumsindikiza Kamanda Lema.
 
Hiki kimtu kinatokea kwa jina la SUMU kila thread kinalipwa na CCM kujaribu kubadilisha vijana waonao mbele JF.....Please ignore this fake person with fake ideas which give hm fake money

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Nipo njiani naelekea arusha nikajionee mwenyewe hii ni vita ya watu wa watu.
 
mkuu acha uongo, in reality, promo iko hapa JF tu, ila mtaani kuko shwari kabisa, wala hata watu hawaguswi zaidi ya kumshangaa jinsi anavyojiabisha, kesho atakua mwenyewe mahakamani labda na wewe mleta thread mkienda na familia yako
 
Chademaaaaaaa!!!!!!!!!!!!-yatoshaaaaaa, CCMuuuuuuuuuu-ya nini?????????????; slogan letu 2015, mtajuta akina stroke, sumu na wenzenu
 
Hiki kimtu kinatokea kwa jina la SUMU kila thread kinalipwa na CCM kujaribu kubadilisha vijana waonao mbele JF.....Please ignore this fake person with fake ideas which give hm fake money

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ilo chichiman la lumumba.,ukilifatilia sana litakung'oa kucha..
 
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .

harakati za ukombozi hazihitaji majuha kama wewe!
 
Back
Top Bottom