Upangaji wanafunzi uvivu UACHWE

Kusoma sio kua na akili tu za darasani na uwezo wa kusomesha pia ni muhimu, siku hizo kusona ni pesa sio akili za darasani.
Hoja hapa ni kwamba huyu mtoto kwa ufaulu wake wa wastani wa A alitakiwa kupata nafasi kwenye shule maalum au za vipaji badala ya kupelekwa kwenye shule ambazo wengine wana wastani wa C.
 
Kuna shule wanafunzi wana A wote, na wote shule ya kata wamepangiwa, ushindani ni mkubwa sana,
Kwa nini ushindani ni mkubwa? Hakuna shule za kutosha za vipaji maalum? Maana tumeona ufaulu kwa ujumla haukuwa mzuri (waliopata wastani wa A hawakuwa wengi).
 
Kwa nini ushindani ni mkubwa? Hakuna shule za kutosha za vipaji maalum? Maana tumeona ufaulu kwa ujumla haukuwa mzuri (waliopata wastani wa A hawakuwa wengi).
Wapo elfu 50 na ushee

Hizo shule tuseme zipo 50, kwa hiyo buku kila shule, kwa hiyo waliopata A kali zaidi ndio wanaenda mfano tuu unakuta private school annual dogo ana wastani wa 45/50 ila darasani ni wa 30 huko, jiulize wa kwanza ana wastani wa ngapi na wapo wangapi
 
Watoto wamepata A zote wamepangwa shule za kata, afu unataka mwenye B mbili apangwe shule za bwen are you serious?
Jaribu kufikiri kwa kina utaiona seriousness yangu!. Shule ya kijijini! Halafu hao waliopangwa shule za BWENI ndo waliokidhi?
 
Kuna shule wanafunzi wana A wote, na wote shule ya kata wamepangiwa, ushindani ni mkubwa sana,
Hawafanyi upembuzi wowote ni sawa na kuinamisha KAPU lenye bidhaa waache UVIVU.

Watambue vipaji na kuvielekeza kunakohusika!
 
Unapoteza muda tu Ndugu yangu
Shule za vipaji zipo ngapi Tanzania nzima miaka hii ambapo Kuna raia milioni 60?
Shule hizi hazijawahi kuongezeka sana sana labda zimepungua. Huyo unaemzungumzia ana B mbili yupo mwingine hapa nyumbani ana A zote kapelekwa Vikindu sekondari
Hii ndo inauma sanaa yaan.
 
Nasr Mohamed Mchengerwa kasoma FEZA PRIMARILY SCHOOL kapangiwa AZANIA.

Mwingine njnayemfahamu pale pale Feza alipata A zote ispokuwa Uraia, kapangiwa Kawe Ukwamani.

Mwisho wa siku maokoto yako ndiovyatafanya mwanao akasome wapi...
unakuta mtu kasoma St Fulani, anapangwa Mfaranyaki sec
 
Kijana JUSTINE JULIUS MFUNDO huyu mmoja wa vijana walio wengi wa KITANZANIA wanaopotea na uwezo mkubwa wa akili zao darasani sababu ya Taifa kutowatambua.

Kijana huyu nimefuatilia matokeo yake ya darasa la 7 kupitia shule aliyosoma inayoitwa MAJAWANGA P/S, nimeishi Dar kwa sasa niko huku mpakani mwa Morogoro na Dodoma ndipo nikaifahamu shule hii kwa jina na kupitia wanafunzi wanaosoma hapo kutokana na kuwauliza.

Matokeo ya daresay la 7 yalipotoka nikashawishika kuangalia ufaulu wao ndipo nilipokutana na jina hili JUSTINE JULIUS MFUNDO.

Kijana pekoe aliyefaulu kwa kupata wastani wa A yaani kapata alama B katika masomo mawili tu yaani ENGLISH na URAIA Masomo mengine yote ni A.

Nikashawishika kuona wenye dhamana ya kuwapangia wanafunzi shule za sekondari watampangia wapi?

Kama kawaida kijana kapangwa kwa MKULULO wa wote HAYA nyote mliomaliza hapa MAJAWANGA P/S mtaelekea PANDAMBILI SEC SCHOOL.

Hii siyo sawa kwa Afya ya taifa linalohitaji MAGENIUS kuja kulisaidia taifa Lao, nani sasa anayetambua uwezo kama huu wa hawa watoto.

Au wanaangaliwa wale watoto wanaosoma hizi shule za kugharamiwa na wazazi?

Taifa lisisubiri mpaka Mwanafunzi afikie elimu ya juu ndipo limpe MKOPO wa science, huyu HAITAJI MKOPO anahitaji kupelekwa shule za VIPAJI.

Mwalimu wake anajisikiaje ? Mwanafunzi huyu kutothaminiwa ? Au kwa sababu mwanafunzi huyu yuko KIJIJINI?

Hivi wanafunzi gani wapo pale MAZENGO ? Wote watakuwa na ufaulu zaidi wa huyu? HATA kama basi na yy kutokana na mazingira yake anaweza kufanya zao ya hao WATEULE wenu.

MBUNGE WA KONGWA ,mtembele kijana huyu na umsaidie ,hili litachochea na wengine na wengine kufanya vzr na hata waalimu kuna faraja watapata.

Tupunguze kuandaa wachunga MBUZI.
Mwanangu kapata A zote kapangiwa kisarawe 2
 
Mkuu! Siku hizi wanaopata wastani wa 'A' ni wengi! Shule nyingi za kata zinachanganya na hao wa 'B' na wengi wao zaidi ya %90 ni 'C' Hata hivyo kulingana na uwezo wa wazazi wakati mwingine kusoma kutwa kwa shule ya karibu ni nafuu zaidi kuliko kupelekwa shule za bweni zilizombali na gharama za nauli na mahitaji lukuki kama sanduku, mashuka, n.k
Mkuu wangu!! Nimejaribu kupitia shule nyingine ya nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam lkn kijiografia wapo MKURANGA.

BRAVO kwa wahusika wa upangaji hawa hawana UVIVU. Mwanafunzi anatoka shule ya msingi MKOKOZI yy pekoe ndo kapata wastani wa "A" akiwa na B (3)

Huyu kapangiwa BIBI TITI SHULE TEULE - RUFIJI wenzake ndo wamekwenda shule za kata KUTWA.

jina Lake nimelihifadhi.
 
Saizi nadhani ufaulu umeongezeka zaidi., 2012 nikiwa na AAABB - average A nilipangiwa shule ya ufundi
2012 matokeo yalitoka ki marks, na ndo mwaka wa mwisho kutoka ki marks std 7,

Ila kuanzia 2013 ndo ilianza kwa Grade. Na mwaka ule kuanzia 210 marks ndo unaenda vipaji, ufundi na bweni.

Nilipata marks 223 nilienda zangu shule ya bweni.
 
2012 matokeo yalitoka ki marks, na ndo mwaka wa mwisho kutoka ki marks std 7,

Ila kuanzia 2013 ndo ilianza kwa Grade. Na mwaka ule kuanzia 210 marks ndo unaenda vipaji, ufundi na bweni.

Nilipata marks 223 nilienda zangu shule ya bweni.
Ni kweli, nimejaribu kuhusianisha grade maana niliona passmark zangu. By the way nilikuwa na marks 225.. masomo matatu 45+, masomo mawili 40+

Kwa sasa wanafunzi wanafaulu sana., muda unavokwenda na ufaulu unaongezeka
 
Hii ndo inauma sanaa yaan.
Shule za vipaji zingebaki chache labda kwa sababu miaka hii hakuna vipaji labda ila SHULE ZA BWENI WANGEZIONGEZA TU. Haina maana mtoto aliyepata A zote au kuwa na B moja ukamuweka darasa moja na mtu mwenye C zote au pengine ni C na D zote. Huu no uhuni aise.
 
Enzi tunasoma ili uende kipaji ilikuwa walau uwe na jumla ya maksi 147, 148, 149 au 150 ambayo ndio ilikuwa maksi kubwa, hizo ni enzi za Hisabati (50), Maarifa (50) na Lugha (50)...

Hakukuwa na mambo sijui A, B, C...bali vipanga walikuwa wanaoneshana nani mwenye maksi nyingi...
 
jitahidi kufuatilia sehemu nyingine,Sio unakurupuka tu.Unaonekana upo nyuma kwa kila kitu.Kaka wakati huu sio kama kipindi cha nyuma.Yaan huyo ni mwanafunzi wa kawaida sana.ingekuwa kama zaman hesabu unakokotoa mwanzo mwisho angeenda.sasa hesabu za machagulio alafu ana B mbili unakuja kulia hapa.acha ujinga
 
Hayo ndiyo matokeo ya kijijini kwetu! Najiandaa kwenda huko kula tunda kimasihara kwa hao vilaza waliopata D, maana wote nawajua
Sasa we baba zima uende kutia hivyo vijukuu vyako kweli?huoni hata kinyaa?
 
Back
Top Bottom