Upande wa pili wa Mbosso usiofahamu

Upande wa pili wa Mbosso usiofahamu

Maromboso ubaya wake umeanza kuonekana baada ya kutoka wcb? Kumbukumbu zinaonyesha hakuna mtu aliyetoka wcb na Sinza pazuri asilete Uzi wa kubeza, kutweza, kebehi na roho ya inda
 
wakati Mbosso anafanya vizuri sana na EP yake ya Room number 3 ambayo imepata hitsong ya Pawa iliyoandikwa kwa ushirikiano wa Mbosso na Diamond Platnumz.

Ni vema kama watanzania mkaufahamu upande wa pili wa Mbosso ambao umekuwa hauzungumzwi sana na yeye amefanikiwa kuulinda usijulikane.

Ukipita mitandaoni comment nyingi unakuta wanasema Mbosso ni msanii mpole na mstaarabu hata ikitokea kausishwa na ugomvi basi itasemwa kuwa anaonewa.

Ameshausishwa na magomvi mengi lakini amekuwa akiwai kujisafisha hivyo upande misingi ukibaki kuchafuka.

Mbosso ni bingwa wa kuandika na kuimba lakini ni bingwa zaidi wa unafki na ufitinishi.

Yamoto band ilipovunjika alizunguka na kuwaachia mimavi wenzie kuwa wao ndio chanzo yeye alikuwa hataki kundi life. Akaonekana yeye mzuri. Mpaka leo Aslay na Mkubwa Fella hawapo vizuri.

Inadaiwa kuwa alikuwa chanzo cha ugomvi wa Chege na Diamond alipeleka maneno ya uongo kwa Diamond fitna kwake si mwiko.
Alikuwa na bifu na demu wa Aslay mwanadada Tessy chocolate. Mwanaume unamchukia demu wa mchizi wako.

Inadaiwa pia alikuwa anapeleka maneno ya Harmonize kwa Diamond.
Alikuwa anamchokoza chini chini Marioo, Mario alipojibu public yeye akageuza kuwa anachokozwa.
Alishawai fanya hivyo kwa Jaymelod.

Kama ilivyokuwa kwa Tessy kwa sasa haziivi na Zuchu. Kawaida yake kugombana na mashemeji zake. Nimeona anahojiwa na ICU kina maimatha anaulizwa kuhusu Zuchu shemeji yake anakenua tu anafurahia.

Inadaiwa amempora Chino Wanaman mwekezaji wake. Fitna juu ya fitna.
Mmeona alichomfanyia Ennock Bella?

Collabo yake na Aslay inasuasua kwa sababu ameshaanza kutangaza mapema kuwa nyimbo anaandika yeye na Aslay anamuogopa. Always yeye yupo vizuri.

Alikuwa swaiba wa familia ya Diamond full kujipendekeza na ufitinishi.


Tuendelee kuinjoi muziki mzuri wa ep yake huku tukiujua upande wa pili wa Mbosso.

Adiós!
Nilipo on tu hii title Nikajua kuna kurumbembe litaleta negativity becquse Tanzanians are saddists and the hate every success and successful people
 
wakati Mbosso anafanya vizuri sana na EP yake ya Room number 3 ambayo imepata hitsong ya Pawa iliyoandikwa kwa ushirikiano wa Mbosso na Diamond Platnumz.

Ni vema kama watanzania mkaufahamu upande wa pili wa Mbosso ambao umekuwa hauzungumzwi sana na yeye amefanikiwa kuulinda usijulikane.

Ukipita mitandaoni comment nyingi unakuta wanasema Mbosso ni msanii mpole na mstaarabu hata ikitokea kausishwa na ugomvi basi itasemwa kuwa anaonewa.

Ameshausishwa na magomvi mengi lakini amekuwa akiwai kujisafisha hivyo upande misingi ukibaki kuchafuka.

Mbosso ni bingwa wa kuandika na kuimba lakini ni bingwa zaidi wa unafki na ufitinishi.

Yamoto band ilipovunjika alizunguka na kuwaachia mimavi wenzie kuwa wao ndio chanzo yeye alikuwa hataki kundi life. Akaonekana yeye mzuri. Mpaka leo Aslay na Mkubwa Fella hawapo vizuri.

Inadaiwa kuwa alikuwa chanzo cha ugomvi wa Chege na Diamond alipeleka maneno ya uongo kwa Diamond fitna kwake si mwiko.
Alikuwa na bifu na demu wa Aslay mwanadada Tessy chocolate. Mwanaume unamchukia demu wa mchizi wako.

Inadaiwa pia alikuwa anapeleka maneno ya Harmonize kwa Diamond.
Alikuwa anamchokoza chini chini Marioo, Mario alipojibu public yeye akageuza kuwa anachokozwa.
Alishawai fanya hivyo kwa Jaymelod.

Kama ilivyokuwa kwa Tessy kwa sasa haziivi na Zuchu. Kawaida yake kugombana na mashemeji zake. Nimeona anahojiwa na ICU kina maimatha anaulizwa kuhusu Zuchu shemeji yake anakenua tu anafurahia.

Inadaiwa amempora Chino Wanaman mwekezaji wake. Fitna juu ya fitna.
Mmeona alichomfanyia Ennock Bella?

Collabo yake na Aslay inasuasua kwa sababu ameshaanza kutangaza mapema kuwa nyimbo anaandika yeye na Aslay anamuogopa. Always yeye yupo vizuri.

Alikuwa swaiba wa familia ya Diamond full kujipendekeza na ufitinishi.
Tuendelee kuinjoi muziki mzuri wa ep yake huku tukiujua upande wa pili wa Mbosso.

Adiós!

Una hela ya kula week hii?
 
Mbossi Sijui ndio Mbosso
,Diamond ety almasi 💎
Hao Hawakujui
Narudia tena Hakujui
Hakujuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Unajaza Taarifa nyingi zao
Unazidi kumpa umaarufu
 
1. Huyo Mboso ni nani,
2. Kwa nini aliamua kukuacha (maana inaonekana wewe utakuwa ulikuwa mkewe ndo inaujua upande wake wa pili)
3. Je unaona ni sawa kuleta mahusiano yenu humu mkiachana?
4. Unadhani mwanaume mwingine akitaka kukuoa ataweza kweli kama unazungumza mambo ya ex mumeo JF?
Kmmk 😁🙌
 
Kwa sisi old school tulikuwa nae wa kariba hii inspector halun babuuu akianza kukutajia tajia mavyakula hapo lazima njaa ikupate 😂😂😂
😁😁😁 Corona laini laini na mavyapati vyapati aghh eti ninge mpata wapi ??
 
Asa mkuu mpaka wewe ukachimbe yote hayo unakua unashida gan ikiwa unachotakiwa kupata kwake ni muziki tu?

Nashindwa kuelewa unapata faida gani kumuongelea mtu vibaya tena alokuzidi mafanikio
 
Wenye akili timamu tushajua lengo la kuanzisha Uzi huu ila fresh kazi iendelee kijana Yuko sawa
 
Unafiki sio jambo baya kifalsafa MTU mnafiki ni MTU amekataa kurithi maadui wa MTU .

Mbosso is very talented smart and visionary hajafika hapo kwa bahati mbaya.

Watanzania acheni wivu wa kijinga
Tafsiri ya unafki imebadirishwa lini mkuu
 
Mboso kawaripa watu huku ili wamtete azidi kuonekana msafi, binafsi mimi mwenyewe namkubali Dogo baadhi ya truck zake ninazo kwenye Simu yangu
Vipo analipa bei gani mbona mimi nmemtetea na sijalipwa au mhasibu hujaniona?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom