Upande wa pili wa Mbosso usiofahamu

Upande wa pili wa Mbosso usiofahamu

Kama video ya PAWA imekuwa trending number one na haitoki hivi je akitoa Aviola itakuaje ?

Huyu mtoto Ana kipaji Sana na ndo msanini namba moja anayejua kufanya mziki wenye ladha ya Kitanzania
 
Mimi ninachojua ni kuwa hajui Ngarenaro ipo wapi kijiografia. Yeye anafikiri kuna gate la Mlima Kilimanjaro kupitia Ngarenaro.

Hayo mengine ni sehehmu ya utafutaji wa mwanadamu kama unavyofanya hapa ndugu mleta uzi.
 
Jaji mtu kwa kazi kwasababu Kazi ndiyo inamtambulisha mtu siyo tabia - hivi ukisikia Mo dewj unapata picha gani? au Ukisikia Mark Zuckerburg unapata picha ipi?

Tabia huwa zinabadilika ila unachokifanya hua kinaishi - unajuaje kama kwa sasa hivi kabadilisha hiyo tabia?

Huoni kama utakuwa unajaji past yake? Wewe past yako ulikua sahihi? Acha unafiki!
 
Hili ndo tatizo la kukakaa katika lebel za kimasikini Kama wcb na king music

Dogo ametoka ametoa EP imekuwa Kali Sana amezifunika nyimbo zote za kijinga za diamond ,alikiba na harmonize sijui marioo

Akiendelea hivi Mbosso watamuua au kumroga
 
Kwanza kabila la Mbosso ni mndegereko na mzaramo.

Pili, wakati Mbosso anafanya vizuri sana na EP yake ya Room number 3 ambayo imepata hitsong ya Pawa iliyoandikwa kwa ushirikiano wa Mbosso na Diamond Platnumz.

Ni vema kama watanzania mkaufahamu upande wa pili wa Mbosso ambao umekuwa hauzungumzwi sana na yeye amefanikiwa kuulinda usijulikane.

Ukipita mitandaoni comment nyingi unakuta wanasema Mbosso ni msanii mpole na mstaarabu hata ikitokea kausishwa na ugomvi basi itasemwa kuwa anaonewa.

Ameshausishwa na magomvi mengi lakini amekuwa akiwai kujisafisha hivyo upande misingi ukibaki kuchafuka.

Mbosso ni bingwa wa kuandika na kuimba lakini ni bingwa zaidi wa unafki na ufitinishi.

Yamoto band ilipovunjika alizunguka na kuwaachia mimavi wenzie kuwa wao ndio chanzo yeye alikuwa hataki kundi life. Akaonekana yeye mzuri. Mpaka leo Aslay na Mkubwa Fella hawapo vizuri.
Alikuwa chanzo cha ugomvi wa Chege na Diamond alipeleka maneno ya uongo kwa Diamond fitna kwake si mwiko.
Alikuwa na bifu na demu wa Aslay mwanadada Tessy chocolate. Mwanaume unamchukia demu wa mchizi wako.
Alikuwa anapeleka maneno ya Harmonize kwa Diamond.
Alikuwa anamchokoza chini chini Marioo, Mario alipojibu public yeye akageuza kuwa anachokozwa.
Alishawai fanya hivyo kwa Jaymelod.
Kama ilivyokuwa kwa Tessy kwa sasa haziivi na Zuchu. Kawaida yake kugombana na mashemeji zake. Nimeona anahojiwa na ICU kina maimatha anaulizwa kuhusu Zuchu shemeji yake anakenua tu anafurahia.
Amempora Chino Wanaman mwekezaji wake. Fitna juu ya fitna.
Mmeona alichomfanyia Ennock Bella?
Collabo yake na Aslay inasuasua kwa sababu ameshaanza kutangaza mapema kuwa nyimbo anaandika yeye na Aslay anamuogopa. Always yeye yupo vizuri.
Alikuwa swaiba wa familia ya Diamond full kujipendekeza na ufitinishi.


Tuendelee kuinjoi muziki mzuri wa ep yake huku tukiujua upande wa pili wa Mbosso.

Adiós!

1. Huyo Mboso ni nani,
2. Kwa nini aliamua kukuacha (maana inaonekana wewe utakuwa ulikuwa mkewe ndo inaujua upande wake wa pili)
3. Je unaona ni sawa kuleta mahusiano yenu humu mkiachana?
4. Unadhani mwanaume mwingine akitaka kukuoa ataweza kweli kama unazungumza mambo ya ex mumeo JF?
 
Kwanza kabila la Mbosso ni mndegereko na mzaramo.

Pili, wakati Mbosso anafanya vizuri sana na EP yake ya Room number 3 ambayo imepata hitsong ya Pawa iliyoandikwa kwa ushirikiano wa Mbosso na Diamond Platnumz.

Ni vema kama watanzania mkaufahamu upande wa pili wa Mbosso ambao umekuwa hauzungumzwi sana na yeye amefanikiwa kuulinda usijulikane.

Ukipita mitandaoni comment nyingi unakuta wanasema Mbosso ni msanii mpole na mstaarabu hata ikitokea kausishwa na ugomvi basi itasemwa kuwa anaonewa.

Ameshausishwa na magomvi mengi lakini amekuwa akiwai kujisafisha hivyo upande misingi ukibaki kuchafuka.

Mbosso ni bingwa wa kuandika na kuimba lakini ni bingwa zaidi wa unafki na ufitinishi.

Yamoto band ilipovunjika alizunguka na kuwaachia mimavi wenzie kuwa wao ndio chanzo yeye alikuwa hataki kundi life. Akaonekana yeye mzuri. Mpaka leo Aslay na Mkubwa Fella hawapo vizuri.
Alikuwa chanzo cha ugomvi wa Chege na Diamond alipeleka maneno ya uongo kwa Diamond fitna kwake si mwiko.
Alikuwa na bifu na demu wa Aslay mwanadada Tessy chocolate. Mwanaume unamchukia demu wa mchizi wako.
Alikuwa anapeleka maneno ya Harmonize kwa Diamond.
Alikuwa anamchokoza chini chini Marioo, Mario alipojibu public yeye akageuza kuwa anachokozwa.
Alishawai fanya hivyo kwa Jaymelod.
Kama ilivyokuwa kwa Tessy kwa sasa haziivi na Zuchu. Kawaida yake kugombana na mashemeji zake. Nimeona anahojiwa na ICU kina maimatha anaulizwa kuhusu Zuchu shemeji yake anakenua tu anafurahia.
Amempora Chino Wanaman mwekezaji wake. Fitna juu ya fitna.
Mmeona alichomfanyia Ennock Bella?
Collabo yake na Aslay inasuasua kwa sababu ameshaanza kutangaza mapema kuwa nyimbo anaandika yeye na Aslay anamuogopa. Always yeye yupo vizuri.
Alikuwa swaiba wa familia ya Diamond full kujipendekeza na ufitinishi.


Tuendelee kuinjoi muziki mzuri wa ep yake huku tukiujua upande wa pili wa Mbosso.

Adiós!
Tuambizane ukweli wakuu huyo mbosso ndo nani huko Daslam?
 
Kwanza kabila la Mbosso ni mndegereko na mzaramo.

Pili, wakati Mbosso anafanya vizuri sana na EP yake ya Room number 3 ambayo imepata hitsong ya Pawa iliyoandikwa kwa ushirikiano wa Mbosso na Diamond Platnumz.

Ni vema kama watanzania mkaufahamu upande wa pili wa Mbosso ambao umekuwa hauzungumzwi sana na yeye amefanikiwa kuulinda usijulikane.

Ukipita mitandaoni comment nyingi unakuta wanasema Mbosso ni msanii mpole na mstaarabu hata ikitokea kausishwa na ugomvi basi itasemwa kuwa anaonewa.

Ameshausishwa na magomvi mengi lakini amekuwa akiwai kujisafisha hivyo upande misingi ukibaki kuchafuka.

Mbosso ni bingwa wa kuandika na kuimba lakini ni bingwa zaidi wa unafki na ufitinishi.

Yamoto band ilipovunjika alizunguka na kuwaachia mimavi wenzie kuwa wao ndio chanzo yeye alikuwa hataki kundi life. Akaonekana yeye mzuri. Mpaka leo Aslay na Mkubwa Fella hawapo vizuri.
Alikuwa chanzo cha ugomvi wa Chege na Diamond alipeleka maneno ya uongo kwa Diamond fitna kwake si mwiko.
Alikuwa na bifu na demu wa Aslay mwanadada Tessy chocolate. Mwanaume unamchukia demu wa mchizi wako.
Alikuwa anapeleka maneno ya Harmonize kwa Diamond.
Alikuwa anamchokoza chini chini Marioo, Mario alipojibu public yeye akageuza kuwa anachokozwa.
Alishawai fanya hivyo kwa Jaymelod.
Kama ilivyokuwa kwa Tessy kwa sasa haziivi na Zuchu. Kawaida yake kugombana na mashemeji zake. Nimeona anahojiwa na ICU kina maimatha anaulizwa kuhusu Zuchu shemeji yake anakenua tu anafurahia.
Amempora Chino Wanaman mwekezaji wake. Fitna juu ya fitna.
Mmeona alichomfanyia Ennock Bella?
Collabo yake na Aslay inasuasua kwa sababu ameshaanza kutangaza mapema kuwa nyimbo anaandika yeye na Aslay anamuogopa. Always yeye yupo vizuri.
Alikuwa swaiba wa familia ya Diamond full kujipendekeza na ufitinishi.


Tuendelee kuinjoi muziki mzuri wa ep yake huku tukiujua upande wa pili wa Mbosso.

Adiós!
Kama mwanaume wewe una muda wa kuwapekenyua wanaume wenzako 🙌🙌

Jopo langu njooni TUMNUNULIE MADELA
MENEMENE TEKERI NA PERESI
min -me
Intelligent businessman
Monetary doctor
secretarybird
Bolotoba
makutupora
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Castle_Lite
Dennis Robert Shughuru , MH. Raisi mtukufu mtarajiwa TOA NENO KWA VIJANA WA SAMPULI HII KWA MUSTAKABALI WA KITAIFA.
ephen_
Harmful
dosho12
mzabzab
Half american
mshamba_hachekwi
DR SANTOS
 
Kama mwanaume wewe una muda wa kuwapekenyua wanaume wenzako 🙌🙌

Jopo langu njooni TUMNUNULIE MADELA
MENEMENE TEKERI NA PERESI
min -me
Intelligent businessman
Monetary doctor
secretarybird
Bolotoba
makutupora
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Castle_Lite
Dennis Robert Shughuru , MH. Raisi mtukufu mtarajiwa TOA NENO KWA VIJANA WA SAMPULI HII KWA MUSTAKABALI WA KITAIFA.
ephen_
Harmful
dosho12
mzabzab
Half american
mshamba_hachekwi
DR SANTOS
Mwenyw anaitwa sinza pazurii, hehehe eeiyaa 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom