snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
Majeruhi wa Mapenzi ulikisomaga lakini??
Miss you :yell:!
si ulikataa kunihadithia!
ila nikikisoma mwenywe ndo kitanoga!hebu do ze needful!
Miss ya six asee!
Majeruhi wa Mapenzi ulikisomaga lakini??
Miss you :yell:!
sasa mbona siku ile tulivoenda beach nikakwambia unisimulie ukawa unagoma ?
NTANUNA mimi!
basi unipe nikisome mwenywe!
Bwana Wetu Yesu Kristo a lipo kuja, alisema "Sikuja kuitengua sheria ya Musa, bali kuikamilisha!", "Kimtiacho mtu najisi ni kitokacho na sio kiingiacho!" ndio maana japo wengine wenu huzitema "zile" wenzenu wengine huzitema! na hakuna najisi yoyote!.
Alimaanisha tusiishi kwa sheria tuu kama wafanyavyo mafarisayo na masadukayo!.
Pasco
Alichofanya Yesu ni kukamilisha kwa kuziondoa sheria vikwazo mfano sheria ya Musa inasema akupigaye kofi mkono wa kulia, na wewe mrudishie kofi!, anayeua kwa upanga, auwawe kwa upanga, mwanake mzinifu, apigwe mawe hadi kufa!. Yesu akasema, atakayekupiga kofi mkono wa kuume, mgeuzie na wa kushoto, na kumpiga mawe mzinifu, na asiye na dhambi awe wa kwanza kutupa jiwe!.
Watu walijikita sana kwenye matendo na kufuata sheria, akawaambia "mtaokolewa kwa neema na sio matendo!"
Pasco.
nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao (walawi 11: 7 8).
agizo hilo limerudiwa katika kumbukumbu la shariah 14: 7 8 na pia isaya 66: 17. Na katika agano jipya, yesu naye amesema kuwa hakuja kutangua shariah na mafundisho ya manabii bali kukamilisha (mathayo 5: 17). Kwa ibara hiyo ni kuwa yesu pia aliharamisha ulaji wa nguruwe.
Source: wapi katika biblia kumetajwa kuhalalishwa kula nguruwe? | alhidaaya.com
Leta ushahidi wa uyasemayo, mimi nimeweka ushahidi wa Biblia.
Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao (Walawi 11: 7 8).
kwa mahubiri yake mamia waliokolewa maelfu walipotea... nime ipenda hii kwa kwel..
faiza, ila naogopa kuharibu mada ya mleta mada,sikutaka kukujibia uku maana inaonekana hauelewi...wakristo wana agano la kale na jipya. Katika maandiko ya agano jipya kristo mkombozi wa dunia hii pia nasema amekuja kuitakasa dunia...aliondoa miiko iyo...unasema alisema hakuja kutengua mafundisho ya manabii, mbona aliwatimua wafuasi wa manabii na wafanyabishara ktk hekalu kwa kubadilshana fedha na kuuza njiwa?ukitaka fungua huzi mpya nikuelimishe mdogo wangu,au pia utabisha kuwa sio mkombozi wa dunia. Ila najua kimoyo moyo unamtii ndio maana hata ukiulizwa tarehe utasema leo kalenda ya taifa ili au pengine duniani ni tarehe 28/11/2013...saa sangapi siku gani unatiririka tu...hapo unakuwa unataja ni miaka mingapi, leo ni siku gani tangu alikozaliwa mkombozi....miaka 622 baada ya kristo, nasema baada ya bethitdei ya kristo ndo akaja mtume mohamad...nguruwe hakuzaliwa siku ya mohamad, alishaumbwa na mababu zako walishatafuna kitambo, ndo inayokupa afya na vizazi vijavyo....
Bwana alikuja kuitakasa dunia na apo ndo kila kimuingiacho binadamu hakimtii unajisi bali kimtokacho....
Au Mbibi Wewe unaona hiyo mambo ya walawi inasema najisi nguruwe tu?
Hiyo hiyo mambo ya walawi 11 Utaona inakuelekeza samaki gani ule na yupi usile!
Mbibiiiiiii!
faiza, ila naogopa kuharibu mada ya mleta mada,sikutaka kukujibia uku maana inaonekana hauelewi...wakristo wana agano la kale na jipya. Katika maandiko ya agano jipya kristo mkombozi wa dunia hii pia nasema amekuja kuitakasa dunia...aliondoa miiko iyo...unasema alisema hakuja kutengua mafundisho ya manabii, mbona aliwatimua wafuasi wa manabii na wafanyabishara ktk hekalu kwa kubadilshana fedha na kuuza njiwa?ukitaka fungua huzi mpya nikuelimishe mdogo wangu,au pia utabisha kuwa sio mkombozi wa dunia. Ila najua kimoyo moyo unamtii ndio maana hata ukiulizwa tarehe utasema leo kalenda ya taifa ili au pengine duniani ni tarehe 28/11/2013...saa sangapi siku gani unatiririka tu...hapo unakuwa unataja ni miaka mingapi, leo ni siku gani tangu alikozaliwa mkombozi....miaka 622 baada ya kristo, nasema baada ya bethitdei ya kristo ndo akaja mtume mohamad...nguruwe hakuzaliwa siku ya mohamad, alishaumbwa na mababu zako walishatafuna kitambo, ndo inayokupa afya na vizazi vijavyo....
Bwana alikuja kuitakasa dunia na apo ndo kila kimuingiacho binadamu hakimtii unajisi bali kimtokacho....
![]()
coming early next year to a bookstore near you...
Sio kuipinga bali kuikamilisha Kumbukumbu la Torati.Una maana Yesu kaja kuipinga Taurati.
Sio kuipinga bali kuikamilisha Kumbukumbu la Torati.
Wewe Mbibi hiyo walawi imekataza kula viumbe na kuelekeza vingine kuliwa!Walawi 11: 7-8 ni kama ilivyoandikwa hapo juu, kama wewe unaipinga kazi ni kwako si kwangu. Mimi Qur'an imenikataza kula nguruwe, sili.
Nakonea huruma wewe, unasoma lakini haiingii kichwani, pole sana.
Wewe Mbibi hiyo walawi imekataza kula viumbe na kuelekeza vingine kuliwa!
Nakushangaa Wewe kutokula nguruwe tu wakati mapweza, ngisi, kaa, chaza, papa, pomboo na wengine wengi haramu Wa majini na nchi kavu unakula!
Sio kuipinga bali kuikamilisha Kumbukumbu la Torati.
Sihitaji kukupa ushahidi wowote!. Kasome Injili ndani ya kitabu chenu kitukufu, kamsome Nabii aitwae Issa Bin Maryam alifanya nini?!.Leta ushahidi kuwa Yesu kaja kuikamilisha Taurati.
Leta ushahidi, wacha porojo. Mimi nimekuwekea ushahidi kuhusu nguruwe, wewe weka kwa uyaandikayo.