Upako Toka Kuzimu...

Upako Toka Kuzimu...

Kutoka kuzimu kuna upako mchafu au kupakaa uchafu na kuwa mwenda wa zimu.
 
Hahahahaha lol!!!! That without any doubt is a name calling and you deserve a ban for the rest of this year 🙂🙂 Mzima weye!? Yale maandamano yenu ya kumuunga mkono Zitto mnayafanya lini!? Na yataanzia wapi na kuishia wapi!?

Tunangoja Historia ya Tanzania uliotuahidi. Huu udaku wapelekee wadaku wenzako mnaoabudu binaadam na masanamu.
 
Tunangoja Historia ya Tanzania uliotuahidi. Huu udaku wapelekee wadaku wenzako mnaoabudu binaadam na masanamu.
Kinachokufanya usimuabudu mungu wako ndo sanamu yako... Pamoja na kuwatukana wenzio maana muda ulnaoutumia kuwatukana wenzio ungeutumia kumwabudu Mungu wako ungejiongeazea thawabu
 
Kinachokufanya usimuabudu mungu wako ndo sanamu yako... Pamoja na kuwatukana wenzio maana muda ulnaoutumia kuwatukana wenzio ungeutumia kumwabudu Mungu wako ungejiongeazea thawabu

Hata mitume walikemea waabudu masanamu, kukemea waabudu masanamu ni ibada pia. Fikiri!
 
Kwahiyo Wewe unaona Haramu ni nguruwe tu? Na Pweza je na Ngamia?

kwa macho yangu nishashuhudia
waislam wanakula hiyo kitu
shida ni nn?sio wakristo tu wanaokula
siku hizi kila kitu tuanshirikiana atiiii!!
 
Back
Top Bottom