MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
Nasikitishwa sana na wafanyakazi wa NSSF Arusha kwani mteja akiingia wanakuona kama msumbufu na
wao wamebaki wanatafuna maandazi na kuzungumza kwenye simu zao. Hivi kweli ndiyo Ofisi ya kibiashara ilivyo? Mbona wanafanya kazi kama wafanyakazi wa Serikali Kuu.
Ingawa Mkurugenzi Mkuu, Dr. Ramadhani Dau wakati wa Mkutano wa Wadau uliofanyika Arusha, alidai kwamba Ofisi ya Arusha imefanyiwa marekebisho katika utendaji wake. Kumbe ndio hamna kitu.
Njoo kesho zimezidi kwa wanaofuatilia madai yao.
wao wamebaki wanatafuna maandazi na kuzungumza kwenye simu zao. Hivi kweli ndiyo Ofisi ya kibiashara ilivyo? Mbona wanafanya kazi kama wafanyakazi wa Serikali Kuu.
Ingawa Mkurugenzi Mkuu, Dr. Ramadhani Dau wakati wa Mkutano wa Wadau uliofanyika Arusha, alidai kwamba Ofisi ya Arusha imefanyiwa marekebisho katika utendaji wake. Kumbe ndio hamna kitu.
Njoo kesho zimezidi kwa wanaofuatilia madai yao.