Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
- Thread starter
- #41
O
Mkuu mathius, kashongo na wenzake ndo aina ya viongozi wanaoiongoza Tz. Huo ndo ukomo wa vikra zao, hawafikirii kuboresha huduma za jamii, wanafikiri kuchafua chama pinzani kwa hoja dhaifu kama hizi pamoja na kuwagawa wanTz kwa hoja za udini na ukabila.
Inauma sana.
Ufisadi wa viongozi wa Chadema ukianikwa unasema huko ni kuchafua upinzani?
Ukweli lazima usemwe siku zote.
Chadema wanachelewa kujivua gamba...na kodi yetu mrudishe haraka.