*
Comment[/U][/B]: Shutuma hizi ni nzito kwa mtu anayeheshimika katika jamii kama Dr Slaa.
Ili kutunza heshma yake iliyobaki, na kwa maslahi ya chama chake, ashauriwe ajiuzulu mara moja.
TRA hawezi kumjua kila anayekwepa kulipa kodi.
Ni jukumu letu Watz kuwaumbua watu hawa kama alivyofanya Nape.
Sasa TRA wamejjua na watachukua hatua.[/QUOTE]
TRA wao ndio wanasababisha watu wakwepe kulipa kodi nahata mimi ningekuwa na uwezo huo basi mshahara wangu usingekatwa kodi, kwani sijui kodi yangu inatumika vipi, zaidi ya kuwanufaisha watu na familia zao,
This is what we call politics of desperation. CCM wameishiwa, wanabaki kujivua magamba na kusahau kuwa ukianza kumrushia mwenzako tope unabaki nazo mikononi na nguoni mwako.
tunahitaji kusikia hatua zilizochukuliwa dhidi ya magamba
chooni kwangu nina magazeti kibao ya uhuru, mzalendo, tazama. huwa nachambiaga.