Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Simba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
Haraka sana maamuzi yafanyike
Watakuambia story za Yusuph na GSMNa Azam napo vipi?
Wanasimba tupunguze hizi mumble jambo.Uwanja wa Jamhuri una mizizi ya wanachama wa Yanga, ni ngome ya wanachama wa Yanga.
Simba kuweka uwanja wa nyumbani uwe wa Jamhuri morogoro ni sawa na Yanga kuhamishia uwanja wao uwe Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
NENDENI BURUNDIUwanja wa Jamhuri una mizizi ya wanachama wa Yanga, ni ngome ya wanachama wa Yanga.
Simba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
kokote waendapo nasi tunao mpk wajitoe kwenye NBC league VAVAVAVAYO makolouizdadSimba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike
Wenzio wamewekeza ktk uloziWanasimba tupunguze hizi mumble jambo.
Tuwekeze kwenye soka la kiufundi zaidi
Mmetoka jangwani mlikuwa yanga nyie mkaanzisha timu yenu ya makolo wizard,mkaona mkikaa jangwani tutakuwa karibu, mkaona muamie masaki pia mkaona tupo karibu mkaamia bunju,yani nyie mkaona bado mpo Dar esa salaam juzi mmeamua kuamia morogoro,jamani kuna siku mtajikuta mbuga za serengeti maana nyie ni simbaSimba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,
Haraka sana maamuzi yafanyike