Uongozi wa Simba ubadili uwanja, Uwanja wa Jamhuri tutakula za uso, huu ni mwanzo tu

Nyeeee...nyeeeeeee....nyeeeeeeeeeee!
FB_IMG_1708800071658.jpg
 
Waganga wa yanga wako morogoro, hata manara huwa anakuja sana huku akitaka kumpiga hela GSM, au kumfunga Injinia asimfute kazi pale yanga kwa kuwa hana analofanya, content zake zimebaki za kuoa tu.
Wanachinja mbuzi na visomo vingi kule Kinole, kinapigwa kisomo mpaka moshi unaanza kutoka bila kuwasha moto.

Baadae yanapigwq makufuru ya kufa mtu
 
Simba kuweka uwanja wa nyumbani Moro ni sawa na Yanga waweke uwanja wao Tanga,

Haraka sana maamuzi yafanyike
Mmetoka jangwani mlikuwa yanga nyie mkaanzisha timu yenu ya makolo wizard,mkaona mkikaa jangwani tutakuwa karibu, mkaona muamie masaki pia mkaona tupo karibu mkaamia bunju,yani nyie mkaona bado mpo Dar esa salaam juzi mmeamua kuamia morogoro,jamani kuna siku mtajikuta mbuga za serengeti maana nyie ni simba
 
Back
Top Bottom