Je kuna uwezekano wa Simba kuhamia moja kwa moja uwanja wa Mej. General Isamuhyo ulioko Mbweni?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,151
7,916
Nimewaza na kuwazua, kwa muda sasa Simba imeweka kambi yake maeneo ya Mbweni na ni umbali mdogo sana kutoka uwanja wa Meja Generali Isamuhyo ulipo. Yaani umbali wake ni mdogo kiasi kwamba katika mechi inayokuja ya JKT vs Simba, Simba wanaweza kuamua siku ya mechi kutembea kwa miguu kutoka kambini hadi uwanjani kama ambavyo Deportivo de Utopolo wanafanyaja kwenye derby kutokea Uhasibu hadi kwa Mkapa.

Mwanzo nilishtushwa na taarifa za mechi ya Simba na JKT kuhamishiwa katika uwanja huu. Nimeangalia video, yaani ni uwanja ambao bado uko katika ujenzi mkubwa na unaweza kusema hata 50% ya ujenzi wanaotegemea kufanya bado haujakamilika. Bado hakuna majukwaa, bado kuta hazijapakwa rangi, sehemu yatakapokaa majukwaa bado ni vumbi tupu hakuna hata pavement, hata mlango wa kuingilia umeegeshwa tu na umefunikwa na plastiki. Kuisalama ungeweza kusema sehemu ile siyo sahihi kupeleka idadi kubwa ya watu bila tahadhari kwa sababu ujenzi unaendelea.

Niliwahi kusema eneo ilipo Simba Mo Arena sina uhakika kama linatosha kujenga uwanja wa mashindano wenye majukwaa hata wa size ya ule wa Azam halafu wakati huo huo ukatimiza malengo ya kuweka pitch za kutosha za mazoezi kwa timu zote za Simba (Senior, Wanawake na za Vijana) maana itabidi kila timu iwe na uwanja wake wa mazoezi ili kutovuruga ratiba za kila timu, hapo hapo uwe na pitch ya nyasi bandia. Viongozi walituambia mipango pia ni kuweka hostel za timu zote hapo hapo na miundombinu mingine ikiwemo gym na parking ya kutosha. Hapo unaona kuwa kujenga uwanja wa mashindano pale inaweza isiwe jambo linalowezekana labda kama eneo litapanuliwa zaidi.

Hivi Simba ikiendelea na mipango mingine ya kuboresha mazingira ya Mo Simba Arena kama hosteli za vijana na wanawake halafu ikaingia ushirikiano na Jeshi kujenga uwanja huu wa Isamuhyo kwa kushare gharama za ujenzi halafu baadae kwa Simba kupeleka mechi zake zote za ligi zitakazoingiza fedha nyingi kwa haraka zaidi, hii inaweza kuwa smart move sana kwa pande zote.

Jeshi pia lina access ya vitu vingi ambavyo Simba itakuwa imetua mzigo wa uendeshaji na usimamizi wa uwanja mfano masuala ya ulinzi wa uwanja na maintenance mbalimbali, nk.

Hili wazo niliwahi kuliwaza kwa uwanja wa Uhuru ila ukitazama lina make sense zaidi kwenye uwanja huu wa Isamuhyo. Ninachoomba tu waweke siti standard kwa mashabiki kama zile za kwa Mkapa au Amaan, siyo mabenchi ya zege au ya mbao kama ya Azam Complex. Siku hizi mchina amerahisisha mambo sana hakuna sababu ya kushindwa kuweka viti vya plastiki katika uwanja wa mpira.
 
Nimezawa, kwa muda sasa Simba imeweka kambi yake maeneo ya Mbweni na ni umbali mdogo sana kutoka uwanja wa Meja Generali Isamuhyo ulipo. Yaani umbali wake ni mdogo kiasi kwamba katika mechi inayokuja ya JKT vs Simba, Simba wanaweza kuamua siku ya mechi kutembea kwa miguu kutoka kambini hadi uwanjani kama ambavyo Deportivo de Utopolo wanafanyaja kwenye derby kutokea Uhasibu hadi kwa Mkapa.

Mwanzo nilishtushwa na taarifa za mechi ya Simba na JKT kuhamishiwa katika uwanja huu. Nimeangalia video, yaani ni uwanja ambao bado uko katika ujenzi mkubwa na unaweza kusema hata 50% ya ujenzi wanaotegemea kufanya bado haujakamilika. Bado hakuna majukwaa, bado kuta hazijapakwa rangi, sehemu yatakapokaa majukwaa bado ni vumbi tupu hakuna hata pavement, hata mlango wa kuingilia umeegeshwa tu na umefunikwa na plastiki. Kuisalama ungeweza kusema sehemu ile siyo sahihi kupeleka idadi kubwa ya watu bila tahadhari kwa sababu ujenzi unaendelea.

Niliwahi kusema eneo ilipo Simba Mo Arena sina uhakika kama linatosha kujenga uwanja wa mashindano wenye majukwaa hata wa size ya ule wa Azam halafu wakati huo huo ukatimiza malengo ya kuweka pitch za kutosha za mazoezi kwa timu zote za Simba (Senior, Wanawake na za Vijana) maana itabidi kila timu iwe na uwanja wake wa mazoezi ili kutovuruga ratiba za kila timu, hapo hapo uwe na pitch ya nyasi bandia. Viongozi walituambia mipango pia ni kuweka hostel za timu zote hapo hapo na miundombinu mingine ikiwemo gym na parking ya kutosha. Hapo unaona kuwa kujenga uwanja wa mashindano pale inaweza isiwe jambo linalowezekana labda kama eneo litapanuliwa zaidi.

Hivi Simba ikiendelea na mipango mingine ya kuboresha mazingira ya Mo Simba Arena kama hosteli za vijana na wanawake halafu ikaingia ushirikiano na Jeshi kujenga uwanja huu wa Isamuhyo kwa kushare gharama za ujenzi halafu baadae kwa Simba kupeleka mechi zake zote za ligi zitakazoingiza fedha nyingi kwa haraka zaidi, hii inaweza kuwa smart move sana kwa pande zote.

Jeshi pia lina access ya vitu vingi ambavyo Simba itakuwa imetua mzigo wa uendeshaji na usimamizi wa uwanja mfano masuala ya ulinzi wa uwanja na maintenance mbalimbali, nk.

Hili wazo niliwahi kuliwaza kwa uwanja wa Uhuru ila ukitazama lina make sense zaidi kwenye uwanja huu wa Isamuhyo. Ninachoomba tu waweke siti standard kwa mashabiki kama zile za kwa Mkapa au Amaan, siyo mabenchi ya zege au ya mbao kama ya Azam Complex. Siku hizi mchina amerahisisha mambo sana hakuna sababu ya kushindwa kuweka viti vya plastiki katika uwanja wa mpira.
hapana ni uwanja mbaya hauko kwenye standard
 
Kinacho wakimbiza Simba Chamazi ni kwakua hawaruhusiwi kufanya mambo ya kishirikina kwa kuchimba na kunyunguzia dawa za kichawi.
Ata apo Isamuyo haitawezekana kwakua hawata pata nafasi ya kufukia na kunyunyuzia dawa za kishirikina uwanjani.

Wao Simba wanataka kabla ya kucheza wafanye maushirikina kama mechi na Tabora united, ili wapate matokeo kitonga.

Timu inacheza ki goigoi na Bado wanataka washindane na Yanga ambao dk 90 wachezaji wa Yanga wanakimbia wastani wa kilometer 12/13 Kwa mechi Moja.
 
Kinacho wakimbiza Simba Chamazi ni kwakua hawaruhusiwi kufanya mambo ya kishirikina kwa kuchimba na kunyunguzia dawa za kichawi.
Ata apo Isamuyo haitawezekana kwakua hawata pata nafasi ya kufukia na kunyunyuzia dawa za kishirikina uwanjani.

Wao Simba wanataka kabla ya kucheza wafanye maushirikina kama mechi na Tabora united, ili wapate matokeo kitonga.

Timu inacheza ki goigoi na Bado wanataka washindane na Yanga ambao dk 90 wachezaji wa Yanga wanakimbia wastani wa kilometer 12/13 Kwa mechi Moja.
Tubaki kwenye mada, si kila wakati ni muda wa mijadala ya kishabiki. Anyway, soma hiki nilichosema kitambo sana....

Yanga wanacheza mpira mzuri na wa kasi ila hiyo style inahitaji kutumia energy kubwa. Msimu ukifika katikati kuna uwezekano watakata moto.

Wajifunze kujua mida sahihi ya kupoza mpira na mida ya kuongeza kasi ili kulinda energy yao isitumike bila sababu. Wanapojisifu kuzifunga JKT 5 wajue wanatumia energy kubwa ambayo inaweza isiwepo siku wanapoihitaji na wakisubiri mpinzani ndiyo aamue pace ya mchezo itawacost kama ilivyokuwa leo kipindi cha pili.
 
Tubaki kwenye mada, si kila wakati ni muda wa mijadala ya kishabiki. Anyway, soma hiki nilichosema kitambo sana....
Kwanza inaonekana hujui ata namna Gani mwili unavyo Fanya kazi.
Mwili unazoezwa kufanya kazi/ kitu Fulani kwa namna wewe uliye amua unavyotaka.

Miili ya wachezji wa Yanga inashurutishwa mazoezini kuzoea kuchoma nishati kwa kiwango Cha juu ikipewa jukumu.

Miili inalazimishwa iende sambamba na Kasi ya ubongo katika kufanya maamuzi.
Physical stamina Inatakiwa iende Sambamba na Mentor Stamina ili upate matumizi sahihi ya Kasi na uzalishwaji wa nguvu ili utekeleze jukumu.

Usitarajiea Yanga wakatae pumzi Leo au kesho kwakua msingi wa training Yao unawafanya Energy level iwe juu muda wote.
Ili uwaone Yanga energy imekata ni pale atakapo kutana na timu ambayo Ina train zaidi Yao na wenye wachezaji wenye uwezo kuliko wa Yanga.

Kitu ambacho kwa bongo hakipo, itatokea mara Moja au mbili baadhi ya timu kupata matokeo kwa Yanga lakini sikwakua Yanga wamekata moto ila ni matokeo ya kawaida ya kushangaza katika soka.

Yanga wameanza round ya pili Sharpness Yao kwenye goli ikiwa Chini kidogo ila sio speed na Energy.
Ile clinical finish ndio iliyo pungua kwakua ligi ili simama ila wanatengeneza 4/5 Clear chance per game.

Maana yake Yanga Bado yamoto na unapo anza huu mzunguko wa pili zipo timu zita pigwa goli 5 kama kawaida.

Huwezi kuwa na wachezji ma goigoi ukategemea ushirikina upate ubingwa, unaweza ukahama viwanja vyote na Bado uka kandwa.
 
Kwanza inaonekana hujui ata namna Gani mwili unavyo Fanya kazi.
Mwili unazoezwa kufanya kazi/ kitu Fulani kwa namna wewe uliye amua unavyotaka.

Miili ya wachezji wa Yanga inashurutishwa mazoezini kuzoea kuchoma nishati kwa kiwango Cha juu ikipewa jukumu.

Miili inalazimishwa iende sambamba na Kasi ya ubongo katika kufanya maamuzi.
Physical stamina Inatakiwa iende Sambamba na Mentor Stamina ili upate matumizi sahihi ya Kasi na uzalishwaji wa nguvu ili utekeleze jukumu.

Usitarajiea Yanga wakatae pumzi Leo au kesho kwakua msingi wa training Yao unawafanya Energy level iwe juu muda wote.
Ili uwaone Yanga energy imekata ni pale atakapo kutana na timu ambayo Ina train zaidi Yao na wenye wachezaji wenye uwezo kuliko wa Yanga.

Kitu ambacho kwa bongo hakipo, itatokea mara Moja au mbili baadhi ya timu kupata matokeo kwa Yanga lakini sikwakua Yanga wamekata moto ila ni matokeo ya kawaida ya kushangaza katika soka.

Yanga wameanza round ya pili Sharpness Yao kwenye goli ikiwa Chini kidogo ila sio speed na Energy.
Ile clinical finish ndio iliyo pungua kwakua ligi ili simama ila wanatengeneza 4/5 Clear chance per game.

Maana yake Yanga Bado yamoto na unapo anza huu mzunguko wa pili zipo timu zita pigwa goli 5 kama kawaida.

Huwezi kuwa na wachezji ma goigoi ukategemea ushirikina upate ubingwa, unaweza ukahama viwanja vyote na Bado uka kandwa.
Ok turudi kwenye mada
 
Ok turudi kwenye mada
Kwenye mada ndio kama nilivyo eleza, Simba wanatakiwa wawe na kiwanja ambacho watakua na maamuzi Yao wenyewe (Absolutely power) wakiamua wafukie paka, mtu, mbuzi, kumwaga unga n.k
Kwasasa viwanja vya watu/ taasisi ambavyo hawana mamlaka navyo ni Ngumu kufanya mambo ayo.

Unaweza kufanya hivyo kwa viwanja vya serikali kwa kuhonga watendaji wa chache waliopewa jukumu la kuvitunza kama ilivyofanyika kule Ally Hassan Mwinyi Tabora.
Unaweza kufanya hivyo Ben Mkapa stadium, Shamba la bibi na viwanja vingine vya CCM.
 
Kwenye mada ndio kama nilivyo eleza, Simba wanatakiwa wawe na kiwanja ambacho watakua na maamuzi Yao wenyewe (Absolutely power) wakiamua wafukie paka, mtu, mbuzi, kumwaga unga n.k
Kwasasa viwanja vya watu/ taasisi ambavyo hawana mamlaka navyo ni Ngumu kufanya mambo ayo.

Unaweza kufanya hivyo kwa viwanja vya serikali kwa kuhonga watendaji wa chache waliopewa jukumu la kuvitunza kama ilivyofanyika kule Ally Hassan Mwinyi Tabora.
Unaweza kufanya hivyo Ben Mkapa stadium, Shamba la bibi na viwanja vingine vya CCM.
Utopolo mbona hawana kiwanja Chao wenyewe ambacho Wana maamuzi (absolutely power) lakini majini wanayarusha na kuyatumia kama kawaida na yanafanya KAZI mpaka nje ya nchi na mabara?
 
Utopolo mbona hawana kiwanja Chao wenyewe ambacho Wana maamuzi (absolutely power) lakini majini wanayarusha na kuyatumia kama kawaida na yanafanya KAZI mpaka nje ya nchi na mabara?
Itakua umeanza kufuatilia mpira Juzi. Yanga ndio timu ya kwanza Soka apa Tanzania iliyokua inamiliki uwanja wake.
Kwasasa uwanja wa Kaunda hautumiki ili kupisha mradi mkubwa wa ujenzi wa uwanja wa kisasa.
Pre season zote na mechi za kirafiki zimechezwa pale kwa miaka mingi.
Yanga kids, Yanga B na Sinior tem zimekua zikicheza mazoezi na mechi kwa miaka mingi Sana.
Tangu miaka ya 70 Yanga walikua wakitumia uwanja wao wa kaunda kwa vitalu vya soka la watoto, vijana mpaka Sinior Team.
Wengi wenu mbumbumbu Fc ham fahamu ilo.
 
Nimewaza na kuwazua, kwa muda sasa Simba imeweka kambi yake maeneo ya Mbweni na ni umbali mdogo sana kutoka uwanja wa Meja Generali Isamuhyo ulipo. Yaani umbali wake ni mdogo kiasi kwamba katika mechi inayokuja ya JKT vs Simba, Simba wanaweza kuamua siku ya mechi kutembea kwa miguu kutoka kambini hadi uwanjani kama ambavyo Deportivo de Utopolo wanafanyaja kwenye derby kutokea Uhasibu hadi kwa Mkapa.

Mwanzo nilishtushwa na taarifa za mechi ya Simba na JKT kuhamishiwa katika uwanja huu. Nimeangalia video, yaani ni uwanja ambao bado uko katika ujenzi mkubwa na unaweza kusema hata 50% ya ujenzi wanaotegemea kufanya bado haujakamilika. Bado hakuna majukwaa, bado kuta hazijapakwa rangi, sehemu yatakapokaa majukwaa bado ni vumbi tupu hakuna hata pavement, hata mlango wa kuingilia umeegeshwa tu na umefunikwa na plastiki. Kuisalama ungeweza kusema sehemu ile siyo sahihi kupeleka idadi kubwa ya watu bila tahadhari kwa sababu ujenzi unaendelea.

Niliwahi kusema eneo ilipo Simba Mo Arena sina uhakika kama linatosha kujenga uwanja wa mashindano wenye majukwaa hata wa size ya ule wa Azam halafu wakati huo huo ukatimiza malengo ya kuweka pitch za kutosha za mazoezi kwa timu zote za Simba (Senior, Wanawake na za Vijana) maana itabidi kila timu iwe na uwanja wake wa mazoezi ili kutovuruga ratiba za kila timu, hapo hapo uwe na pitch ya nyasi bandia. Viongozi walituambia mipango pia ni kuweka hostel za timu zote hapo hapo na miundombinu mingine ikiwemo gym na parking ya kutosha. Hapo unaona kuwa kujenga uwanja wa mashindano pale inaweza isiwe jambo linalowezekana labda kama eneo litapanuliwa zaidi.

Hivi Simba ikiendelea na mipango mingine ya kuboresha mazingira ya Mo Simba Arena kama hosteli za vijana na wanawake halafu ikaingia ushirikiano na Jeshi kujenga uwanja huu wa Isamuhyo kwa kushare gharama za ujenzi halafu baadae kwa Simba kupeleka mechi zake zote za ligi zitakazoingiza fedha nyingi kwa haraka zaidi, hii inaweza kuwa smart move sana kwa pande zote.

Jeshi pia lina access ya vitu vingi ambavyo Simba itakuwa imetua mzigo wa uendeshaji na usimamizi wa uwanja mfano masuala ya ulinzi wa uwanja na maintenance mbalimbali, nk.

Hili wazo niliwahi kuliwaza kwa uwanja wa Uhuru ila ukitazama lina make sense zaidi kwenye uwanja huu wa Isamuhyo. Ninachoomba tu waweke siti standard kwa mashabiki kama zile za kwa Mkapa au Amaan, siyo mabenchi ya zege au ya mbao kama ya Azam Complex. Siku hizi mchina amerahisisha mambo sana hakuna sababu ya kushindwa kuweka viti vya plastiki katika uwanja wa mpira.
Kuingia ubia na Jeshi ni ngumu mno kuliko unavyodhani.
 
Back
Top Bottom