Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Kurasini Highway tangu juzi tunalala gizani.Temeke Sudan jana kutwa mpaka saa hii hakuna umeme.
 
Yaan hakuna maji,hakuna umeme kweliii na hapo sijasema menginee ccm kweli haitujali wananchi wakee😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Natamani nihame tz nimepachoka hii nchi kila kitu shidaa jamaniii yaan navumilia kua mTanzania sijivunii kua mtanzania,
 
Tuliambiwa mgawo utaisha tarehe 14Sep2015
Lakini mpaka sasa mgawo kama kawaida..
nilikuwa sijagundua kumbe wanatumia mtungi mdogo kusambaza umeme...
6 Kg ishakata mpaka wakajaze tena..
 
"By Mapengo 17:
TANESCO walisema umeme utawashwa wiki mbili za mwanzo wa mwezi huu wa Septemba, sio wiki moja kama ilivyoelezwa na mtoa mada."

BWANA MAPENGO ULIWATETEA VIPI BADO UNAWATETEA AU?? HATA TAARIFA YA HABARI YA J'NNE WALITANGAZA KUWA UMEME KUKATIKA MWISHO IJUMAA, VIPI BADO UNAWATETEA??
 
nyie mko nchi huku kwetu umeme tangu ulivyorudi alhamisi jioni waliyosema kuwa ndo mwisho wa mgao kuanzia ijumaa hakuna mgao basi ndo iko hvyo huku haujakatika
 
Katika baadhi ya maeneo Dar es Salaam umeme unakatwa asubuhi na kurudishwa jioni, TANESCO muwe na kawaida ya kutujulisha wateja wenu juu ya kinachoendelea vinginevyo kila mtu atakuja na lake.
 
Swala la Umeme hata tuwe tunatumia Nuklia bado mgao utakuwa pale pale so get prepare.
 
Katika baadhi ya maeneo Dar es Salaam umeme unakatwa asubuhi na kurudishwa jioni, Tanesco muwe na kawaida ya kutujulisha wateja wenu juu ya kinachoendelea vinginevyo kila mtu atakuja na lake.

Siyo Dar Es Salaam tu, hata huku mabonde poromoka umeme unakatika kila siku kwa zaidi ya masaa 12. Siku zote CCM hawasemi ukweli. Waziri wa Nishati na Madini wa CCM Simbachawene alisikika ana ongea kwa kinywa kipana kabisa kuwa, kuanzia Ijumaa Sept 18, 2015 itakuwa mwisho wa mgao, umeme utawaka 24hrs baada ya mitambo ya gas kuwashwa! Cha ajabu kila siku mgao uko palepale na hakuna taarifa zozote toka kwa waziri.

Hivi hivi hata ahadi za Magufuli ni danganya toto, inasikitisha kuona watanzania wamesahau adha za CCM katika kipindi hiki cha miezi miwili wakati CCM iko busy kuitafuta Ikulu. Wakiingia madarakani tena kibano kitakuwa zaidi ya awamu iliyopita.

Kwa wenye akili timamu tumekwisha kiweka kichinjio kwenye "shingo ya CCM", ikifika Oct 25, tunapeleka mbele na nyuma huku tunakandamiza kwenda chini mpaka tutenganishe. Haijalishi kama zitatosha au hazitatosha bora roho zetu ziridhike.
 
TANESCO wanatudanganya tu kua gesi ndo chanzo cha mgao huu na wakasema tarehe 15 mwezi huu ndo ingekua mwisho Mara tena tarehe 18. Kikubwa ni kwamba serikali hii ya ccm imeelekeza fedha nyingi kuhonga wapinzani ili isianguke madarakani na hivyo kushindwa kununua mafuta ya kuendeshea mitambo ya umeme.
 
TANESCO tunatiana hasara kubwa sana, yaani wangejua hasara wanazo zipata watu, Na inasikitisha sana kiongozi anasama anawadanganya watanzania milioni 45 na hachukuliwi hatu yoyote ile
 
Customer CARE ya TANESCO ni hovyo na ndo shirika linaongoza kutoa taarifa za uongo nchi hii na hakuna alie hata wahi kuonywa kwa kudanganya watu
 
Katika baadhi ya maeneo Dar es Salaam umeme unakatwa asubuhi na kurudishwa jioni, Tanesco muwe na kawaida ya kutujulisha wateja wenu juu ya kinachoendelea vinginevyo kila mtu atakuja na lake.

Tatizo la TANESCO siyo gas au vyanzo vya umeme. Tatizo ni kubwa zaidi ya hapo. Ni tatizo lilelile la kisiasa...wameshindwa kudeliver, wanaleta visingizio...kama huamini subiri mabadiliko ya serikali yaje utashuhudia hakuna mgao wa umeme. Watasingizia mitambo nk lakini tatizo la tANESCO ni kubwa zaidi ya mitambo na uchakavu wake. Mimi inanikera kiasi ambacho nikiwaona tu najisikia kama ningekuwa na b.... niwal... yaani nawachukia hujawahi ona.....mghhhhhhh!!!!!!!!
 
Tanesco walishtangaza tena waliwaalika vyombo vyote habari, sema walirusha kwenye taarifa ya habari na hawakurudia habari muhimu kama hiyo inayomuhusu kila mtu.

Tanesco wamesema wapo katika kabadili mitambo ya zzamani inayotumia diesel kuifanya iwe inatumia Gas amabayo imeshafika Dar kwa bomba jipya lililowekwa na wamesha badilisha mtambo mmoja na kila mara (wametoa na tarehe) wataendelea kubadili mpaka tarehe 28 September. Hiyo ndiyo tarehe waliyotoa kuwa mitambo ya zamani itakuwa yote imeshabadilishwa kama halitatokea tatizo lolote.

Mitambo mipya ya Kinyerezi itaanza kuwashwa kidogo kidogo mpaka itakapoonekana kila kitu kipo sawa.

Ni mambo ya kiufundi tu.

Kwa uzoefu wangu wa jinsi Watanzania wanavyofanya kazi, chukulia kuwa ni miezi miwili mpaka mitatu ijayo mambo ni hovyo hovyo tu pengine iwe katika uhai wako wote.

Tanzania tunahitaji wazoefu na wataalam kutoka nje kutuendeshea kampuni hizi kubwa. Wenyewe bado tu wajinga sana.
 
TANESCO wanatudanganya tu kua gesi ndo chanzo cha mgao huu na wakasema tarehe 15 mwezi huu ndo ingekua mwisho Mara tena tarehe 18. Kikubwa ni kwamba serikali hii ya ccm imeelekeza fedha nyingi kuhonga wapinzani ili isianguke madarakani na hivyo kushindwa kununua mafuta ya kuendeshea mitambo ya umeme.

Mkuu ili Hata Mimi Nilishaliongea Sana Hapa Kwamba Tatizo Sio Gess, Uenda Tatizo Ni Mafuta Ya Kuendeshea Mitambo Ya Kufua Umeme.

Mgao Hau kuanza Leo, Mgao Ulianza Tangu Mwezi Wa Sita, Tena Kipindi Ambacho Ccm Ilikia Katika Maandalizi Ya Kura Za Maoni.

Yawezekana Pesa Zimetolewa Tanesco Na Kuamishiwa Kwenye Shuguli Za Chama.

Na kupelekea Shirika Lishindwe Kujiendesha, Wewe Unafikiri Kubandika Mabango Ya Magufuli Nchi Nzima Kurusha Mikutano Kwenye Matv. Kuhonga Dr Mihogo. Prof Lipumba. Wasanii Kutembea Nao. Sipesa Ndogo Mkuu.

Iyo inaitwa Bora Punda Afe Lakini Mzigo Ufike. Wana Mabadiliko Mpo? Sijui kama Hata Azina Kuna Kitu. jamaa Wanatembea Na Azina. yote Dah.
 
Tanesco walishtangaza tena waliwaalika vyombo vyote habari, sema walirusha kwenye taarifa ya habari na hawakurudia habari muhimu kama hiyo inayomuhusu kila mtu.

Tanesco wamesema wapo katika kabadili mitambo ya zzamani inayotumia diesel kuifanya iwe inatumia Gas amabayo imeshafika Dar kwa bomba jipya lililowekwa na wamesha badilisha mtambo mmoja na kila mara (wametoa na tarehe) wataendelea kubadili mpaka tarehe 28 September. Hiyo ndiyo tarehe waliyotoa kuwa mitambo ya zamani itakuwa yote imeshabadilishwa kama halitatokea tatizo lolote.

Mitambo mipya ya Kinyerezi itaanza kuwashwa kidogo kidogo mpaka itakapoonekana kila kitu kipo sawa.

Ni mambo ya kiufundi tu.

Kwa uzoefu wangu wa jinsi Watanzania wanavyofanya kazi, chukulia kuwa ni miezi miwili mpaka mitatu ijayo mambo ni hovyo hovyo tu pengine iwe katika uhai wako wote.

Tanzania tunahitaji wazoefu na wataalam kutoka nje kutuendeshea kampuni hizi kubwa. Wenyewe bado tu wajinga sana.

Nazani ni TANESCO hao hao walio sema kwamba ijumaa ilio pita ndo tatizo lingeisha, sasa kama walisema hadi tarehe 28 hiyo ni habari nyingine, Ila tukubali TANESCO ndo shirika linalo ongoza kwa kutoa taarifa za uongo,
 
Tanesco walishtangaza tena waliwaalika vyombo vyote habari, sema walirusha kwenye taarifa ya habari na hawakurudia habari muhimu kama hiyo inayomuhusu kila mtu.

Tanesco wamesema wapo katika kabadili mitambo ya zzamani inayotumia diesel kuifanya iwe inatumia Gas amabayo imeshafika Dar kwa bomba jipya lililowekwa na wamesha badilisha mtambo mmoja na kila mara (wametoa na tarehe) wataendelea kubadili mpaka tarehe 28 September. Hiyo ndiyo tarehe waliyotoa kuwa mitambo ya zamani itakuwa yote imeshabadilishwa kama halitatokea tatizo lolote.

Mitambo mipya ya Kinyerezi itaanza kuwashwa kidogo kidogo mpaka itakapoonekana kila kitu kipo sawa.

Ni mambo ya kiufundi tu.

Kwa uzoefu wangu wa jinsi Watanzania wanavyofanya kazi, chukulia kuwa ni miezi miwili mpaka mitatu ijayo mambo ni hovyo hovyo tu pengine iwe katika uhai wako wote.

Tanzania tunahitaji wazoefu na wataalam kutoka nje kutuendeshea kampuni hizi kubwa. Wenyewe bado tu wajinga sana.

Kama Kuna Siku Umeongea Vitu Vya Maana ni Leo Sweet.
 
Back
Top Bottom