Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Kwa mgao huu luku ya elfu ishirini natumia kwa mwezi badala ya sh elfu sabini hongereni tenesco kwa kuwa wabunifu wa mbinu za wateja kupata huduma kwa gharama nafuuuu
 
Daaaa. Kaka huko kwenu afadhali. Huku kwetu mbeya ndo kichekesho. Siku zakazi yaani jumatatu hadi ijumaa. Umeme unakatika SAA kumi namojaasibuhi hata kunyoosha Nguo zakazini bado. Na unarudi saa tano usiku.
Siku za jumamosi najuma pili. Mchana unakuwepo ila unakatika saambili usiku.
Hapa najiuliza sasa umeme inawaka mida nasiku hizo kwa faida gani.

Siku ambazo sio zakaz umeme mchana upo. Siku za kaxi hakuna naunarudishwa tushalala.
 
ndani ya Tanesco aliyebaki muwajibikaji asiye Choka, mchapakazi shupavu, anayetekeleza kaulimbiu ya "Hapa kazi tu" ni mmoja tu.. MKATAUMEME.. yuko makini na kazi yake. Anakata hana mchezo
 
Na wasalimu wote ndugu zangu wa Jf;Hili shirika ni laana au ni kitugani gani jamani?,ndugu yangu alilipia kuungiwa Umeme pale kwake panahitaji nguzo mbili,sasa cha ajabu walileta Yale manguzo waka yabwaga pale na mpaka sasa yasingekuwa na dawa ya mchwa yangekuwa yashateketea na mchwa,ila huyu anayegharamikia nguzo zote hizi hapewi kipaumbele kwa vile ataongeza idadi ya wateja bali watakao kuja ku_tap baada ya mhanga kupata umeme wao haichukui hata wiki mbili.Hivi kulikoni hii hali?;Hela tuwapelekew,tuwaongee wateja,halafu hizohizo pesa zako zinakuadhibu!.
 
Mabwawa hayana maji ya kuzalisha umeme,shirika yawezekana hawana fedha za kuagiza mafuta mazito,gesi ya mtwara nasikia nayo haitoshelezi.sasa Tanesco wafanye nini?tuache uonevu.Tulichagua serikali kimeo na matokeo yake ni haya.Tugeuke tumchague mzee wa maamuzi magumu E.Lowasa tutapona.
 
Mabwawa hayana maji ya kuzalisha umeme,shirika yawezekana hawana fedha za kuagiza mafuta mazito,gesi ya mtwara nasikia nayo haitoshelezi.sasa Tanesco wafanye nini?tuache uonevu.Tulichagua serikali kimeo na matokeo yake ni haya.Tugeuke tumchague mzee wa maamuzi magumu E.Lowasa tutapona.

Kwahyo Lowassa ndo atayajaza hayo mabwawa maji. Lowassa ndo ataongeza kasi ya hayo mabomba ya gess unazingua ww
 
Hivi pamoja na hali ngumu ya UMEME nchini, bado watu wanashabikia CCM? Mbali na mambo mengine HII TU INATOSHELEZA KUWAMBIA CCM INATOSHA, KAENI BENCHI KWA MIAKA 5 nanyi muwe wapinzani watazamaji.

- Walitudanganya kwa kutuaminisha kuwa mgao wa Umeme utakuwa Historia baada ya mwezi wa Septemba, lakini mpaka sasa giza tupu.

- Walituambia El Nino inakuja ya kufa mtu, mvua zitanyesha kuanzia mwezi wa August watu wa mabondeni wahame, lakini leo ni Mwezi October hatuoni mafuriko ya mvua zaidi ya yale ya mikutano ya kampeni.

- Leo wanakuja na longo longo za umeme wa maji na mabwawa hayana maji kitu ambacho tulisha sahau.

Hivyo hata hizo ahadi za Magufuli za karibu kila wilaya kujengewa viwanda na barabara za lami ni muendelezo wa kutulisha upepo sisi wapumbavu na malofa ili tumchague tena.

SINA HAMU NA CCM.
 
mnakaa mnatudanganya mara tarehe 18/10 & 21/10 ni bora mtueleze ili tununue vifaa vingine kama solar au jenereta kuliko mnatupa tamaa wakati hayakamiliki
 
tutadanganywa sana mtu mwenye mramba muongo kama chadema mm nachojua mpaka mabwawa yajae ndio nitakuwa na uhakika
 
Labda usubiri mpaka uchaguzi upite, CCM ikishaanguka na Tanesco itabadilika
 
Hivi pamoja na hali ngumu ya UMEME nchini, bado watu wanashabikia CCM? Mbali na mambo mengine HII TU INATOSHELEZA KUWAMBIA CCM INATOSHA, KAENI BENCHI KWA MIAKA 5 nanyi muwe wapinzani watazamaji.

- Walitudanganya kwa kutuaminisha kuwa mgao wa Umeme utakuwa Historia baada ya mwezi wa Septemba, lakini mpaka sasa giza tupu.

- Walituambia El Nino inakuja ya kufa mtu, mvua zitanyesha kuanzia mwezi wa August watu wa mabondeni wahame, lakini leo ni Mwezi October hatuoni mafuriko ya mvua zaidi ya yale ya mikutano ya kampeni.

- Leo wanakuja na longo longo za umeme wa maji na mabwawa hayana maji kitu ambacho tulisha sahau.

Hivyo hata hizo ahadi za Magufuli za karibu kila wilaya kujengewa viwanda na barabara za lami ni muendelezo wa kutulisha upepo sisi wapumbavu na malofa ili tumchague tena.

SINA HAMU NA CCM.

tutaishabikia sana na tutaipigia kura nyingi sana.
tatizo ww hutembei mabwawa hayana maji kabisa sasa utailaumu ccm kwanini mvua haijanyesha.
 
Dah umeme ulikatika tangu jana asubuhi hadi muda huu haujarudi.

Wiki yenu moja mliyotangaza si imeshaisha? Turudishieni umeme.

Mpaka mtakapoacha kuangalia TV zinazoonyesha jinsi ya kuingia nchi ya kaanani na hakyanani msipoturudisha 25 octoba na mitambo tutaiuza!
 
Back
Top Bottom