Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Uongo wa TANESCO mwisho leo - September 14, 2015

Ila tuwe na subra umeme wa gas huooooooooo,tutanufaika na sisi.
 
lakin mkuu mbna kwenye mshahara wanataja kima cha chini??


Kwenye mishahara wapo sahihi mkuu,ila kwenye vitu vilivyo katika hali ya kimiminika ni Kina Mkuu wangu,ni vema tujivunie lugha yetu adhimu na tukufu ya Kiswahili
 
Jamani TANESCO siwalisema trh 14 ndio mwisho wa mgao! !!!? Leo tena wamekata. Au wametoa taarifa nyingine tena. Nadhani huwa hawafanyi mkadirio wa muda kulingana na kazi yenyewe. Siajabu wanajisemea tu " Baada ya wiki 2 tutakuwa tumeshakamilisha.

Ndugu yangu magufuli. Mambo kama haya ndio yanayosababisha chuki na kukosa imani kwa chama
 
Ni kweli rais anaekuja aangalie sana swala la umeme kwani nalo linapunguza kipato serikalini.
 
Umeme umekatwa kote hadi huku tunduma.toka saa 12:30 asubuhi.
 
Umeme umekatwa kote hadi huku tunduma.toka saa 12:30 asubuhi.
 
tatizo lilikuwa maji?

Tatizo sio maji walizima mitambo ili kufanya majaribio ya kutumia gesi katika uzalishaji wa umeme badala ya kutumia mafuta kama ilivyokuwa. Siku saba zimepita hola bado giza na hakuna taarifa zozote kwa wananchi
 
tatizo lilikuwa maji?
Mkuu tusemeje wakati miezi mitatu sasa hatuna umeme.

Tatizo sio maji walizima mitambo ili kufanya majaribio ya kutumia gesi katika uzalishaji wa umeme badala ya kutumia mafuta kama ilivyokuwa. Siku saba zimepita hola bado giza na hakuna taarifa zozote kwa wananchi

Acha kupotosha wewe Tanesco ni wahuni, nasema ni wahuni, wewe unaona Tangazo linalosema siku saba wakati sisi miezi mitatu sasa tangu mwishoniwa mwezi wa sita mgao wa umeme wa masaa 16 ni kila siku?

Mimi niliko tangu mwezi wa sita umeme unakatika saa kumi na mbili asbh na kurudi saa sita usiku.

Na tumezoea, kwa iyo majaribio yalianza June sio?

October 25 ndio mwisho wao na utawala wao.
 
Walisema wiki moja ila wanakata tu bila mpangilio, huku wamekata pia
 
Back
Top Bottom