Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Uvumi wa mwanamke aliyeota manyoya na kisha kupotea umeleta athari nyingi sana.
miongoni mwa athari hizo ni kwamba wale watoaji sadaka kwa ombaomba wa maeneo ya daraja hilo na ombaomba wengine waliozagaa kwenye mitaa mingi ya jiji hili wamekuwa wazito kutoa hizo sadaka na kupelekea kipato cha maomba omba kupungua.
Mwanangu anayesoma Olympio amekuwa akiweweseka usiku kwa kuongea maneno yasiyoeleweka. Ukimwamsha na kumuuliza alikuwa anaota nini, anakwambia kuwa ameota konda kamteremsha Sarenda darajani halafu kakutana na mtu mwenye manyoya ya paka kampeleka kuzimuni.
Mwanangu amekuwa akikosa raha na amekuwa mwingi wa mawazo, kula yake imekuwa ya taabu na hana raha kabisa.
miongoni mwa athari hizo ni kwamba wale watoaji sadaka kwa ombaomba wa maeneo ya daraja hilo na ombaomba wengine waliozagaa kwenye mitaa mingi ya jiji hili wamekuwa wazito kutoa hizo sadaka na kupelekea kipato cha maomba omba kupungua.
Mwanangu anayesoma Olympio amekuwa akiweweseka usiku kwa kuongea maneno yasiyoeleweka. Ukimwamsha na kumuuliza alikuwa anaota nini, anakwambia kuwa ameota konda kamteremsha Sarenda darajani halafu kakutana na mtu mwenye manyoya ya paka kampeleka kuzimuni.
Mwanangu amekuwa akikosa raha na amekuwa mwingi wa mawazo, kula yake imekuwa ya taabu na hana raha kabisa.