Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
pole sana kiongozi, jaribu kumpa mistari ya bible kidogo kabla ya kwenda kulala inaweza ikamfanya asipate ndoto za ajabu
Yaani huu uvumi,sijui uzushi,ulianza humu humu kidogo kidogo,yaani na watu mkauchekelea tu kwa sababu mleta maada alisema kausikia sijui kanisani au sijui alikua natoka kanisania Azania front na ujinga mwengine mwingi,
Oneni sasa madhala yake,tuweni waangalifu na yale tuyaletayo humu,hii Jf inasomwa na watu wengi