Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

Uongo wa gazeti la Tanzania Daima

BULLDOZZER

Senior Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
103
Reaction score
0
Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.

Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.

Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.
 
magazeti hatari ni al huda na al nuru,sauti huru,tazama,mtanzania,rai,habari leo
 
Wewe hujui gazeti hatari ktk nchi yetu?..............ni mtanzania , al nuur, na vijarida vingine vya kiislamu vyenye kufagilia na kuchochea udini
 
Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.

Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.

Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.
Toa kwanza sababu kwa nini tukuamini wewe na si Tanzania Daima? maana haya makanusho tumeshayazoea, imekuwa kama fasheni fulani hivi
 
Huku kwingine mnatupoteza maboya tu...ni sawa na kuleta mjaala wa udini wa uongo wa kupikwa na ccm kwa kuwatuma masheikh badala ya kujadili katiba...............

Watz wa leo sio wale wa jana tumedhamilia na tuko imara hatutikisiki hata vikosi vyote vya ulinzi na usalama viamriwe na kikwete na ccm kuwaua watz walioamua mabadiliko tutakufa hatimae ukombozi wa nchi mikononi mwa kikwete na mafisaid utapatikana
 
Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
 
Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
gazeti hili linamuhariri /makamo muhairiri muislam, au mnalaumu annur tu humu jf?
 
Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
gazeti hili linamuhariri /makamo muhariri muislam, au mnalaumu annur tu humu jf?
 
Nilitegemea watakanusha,sasa ukishafungwa mdomo unafikiri inakuwaje??? ukiufungua unakanusha tu.............lol
 
Toa kwanza sababu kwa nini tukuamini wewe na si Tanzania Daima? maana haya makanusho tumeshayazoea, imekuwa kama fasheni fulani hivi

Mhhh!!! SITTA MWENYEWE AMEKANUSHA! kwa hiyo naomba uchangie kwa ueledi mzuri.
 
Ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.
Lile kusudio la Bernadi Membe kulishati gazeti la mwanachi limeshafika mahakamani? Sijaona sehemu yeyote lile gazeti lilipokanusha habari inayolalamikiwa na Membe.
 
Tuone yatakayojiri leo baada ya kikao cha Kamati kuu CHI CHI EMU
 
ndio tz daima ni gazet hatar mno la propaganda tena za uongo za chama fulani,ila sita na mwakyembe wameshatoa tamko kua tz daima inatakiwa iwaombe radhi na ikanushe habari hiyo ya uongo au watafungua mashtaka dhidi ya tz daima gazet la propaganda za uongo na upotoshaji.

Hawatashitaki ng'o.....kwa kuwa ni kweli wamefungwa mdomo...tumewazoea na vigeugeu vyao....na watuambie basi kama msimamo wao walioutowa awali kuhusu Dowans uko vilevile kupitia vyombo vya umma ikiwemo ukosowaji wao wa werema na ngeleja....Hapo ndio tutajua kama ni kweli tanzania daima wamesema urongo au la.
 
Jana kulikuwa na thread iliyokuwa na kichwa cha habari "Sitta na Mwakyembe wafungwa mdomo kuhusu Dowans" Source ya thread hiyo ilikuwa gazeti la "TZ Daima". Watu wengi tulipoteza MUDA mwingi kuchangia thread hiyo. Katika gazeti hilo kulinukuliwa habari zilizotoka katika kikao cha baraza la Mawaziri ambacho JK alikuwa ni mwenyekiti wake. Nukuu mbalimbali zilitolewa kama ushahidi wa kilichosemwa kikaoni.

Habari zilizothibitishwa na Sitta mwenyewe na Pia Katibu mkuu Ndg. Ph. Luhanjo zinasema HAPAKUWA NA KIKAO CHA MAWAZIRI WALA HAKUNA ALIYEWAZIBA MDOMO SITTA NA MWAKYEMBE. habari hizi zimeandikwa na magazeti yote ya leo kasoro TZ Daima.

Wadau: Katika tasnia ya habari, Je, hamuoni kama gazeti hili ni hatari kwa usalama wa nchi yetu?. Je, gazeti kama hili katika utawala unaojali sheria za vyombo vya habari halipaswi kufungiwa kwa muda? Je, si kweli kwamba waandishi wa gazeti hili ni MAKANJANJA?. naomba tuwe wazalendo katika kujadili hili. Tanzania ni yetu na ni sisi wenye damu mpya tunaoweza kuifikisha nchi tunapopataka kwa AMANI.

Hatari ni nyie mnaosema gazeti limedanganya,( mnamiliki dola) na hamjachukua hatua.
 
Al huda na Annur haya huwa sisomi kabisa! Nikiyaona hununu na kuwapa wamama wafungie maandazi
 
Back
Top Bottom