Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,413
- 8,913
Wanajua jinsi Tundu Lisu alivyopigwa risasi na nani hata yeye Tundu Lisu anajua jinsi alivyojitoa kafara na alivyopata ukilema wa maisha, yote hii sababu ya power, na ndiyo maana wanajitoa akili yote hii kuutetea uongo, uongo ni dhambi na mgumu sana kuiishi nao kwani ni lazima uendelee kudanganya mwishoe ukweli utajitenga tu.
Haya sasa hivi wana power yote, vyombo vyote vya Ulinzi na usalama wanavi-command, kwa nini hawaanzishi uchunguzi yakinifu wa lililotokea kwani hakuna jambo ambalo lingemchafua na kumuondolea Magufuli umaarufu kwa wananchi kama hilo sasa kwanini wanazunguka huku na kule kwa nini wasiseme waliopmpiga Tundu Lisu risasi kwa ushaidi live na kuchukuwa hatua?
Uongo ni dhambi na ni mgumu kuutetea, …
Haya sasa hivi wana power yote, vyombo vyote vya Ulinzi na usalama wanavi-command, kwa nini hawaanzishi uchunguzi yakinifu wa lililotokea kwani hakuna jambo ambalo lingemchafua na kumuondolea Magufuli umaarufu kwa wananchi kama hilo sasa kwanini wanazunguka huku na kule kwa nini wasiseme waliopmpiga Tundu Lisu risasi kwa ushaidi live na kuchukuwa hatua?
Uongo ni dhambi na ni mgumu kuutetea, …