mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Dah Kuna Mambo mtu yanaweza kukufanya ucheke mpaka Basi
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba
Yale Mambo ya maskini kutumia kidonda ndio haya. Habari zilizo mezani mpaka sasa hivi ndugu YETU Tundu Lisu anakuja Tanzania kugombea kwa ticket ya chadema kwenye nafasi ya Urais
Wakat Rais John Pombe Magufuli anaonyesha Miradi mikubwa mikubwa ndani ya nchi na kuonesha watanzania ni jinsi gani chadema wao wamepanga kuja kuwaonyesha watanzania Miguu ya Tundu Lisu kwamba watakua wanazunguka nchi mzima kuonyesha watu Makovu ya risasi alizo pigwa huku lawama wakiitupia serikali
Baadh ya ajenda za CHADEMA mwaka huu wa kampeni
Tundu Lisu kapigwa risasi
Akwelina kufa
Na tume huru
Embu tujiulize hivi chadema Mpaka leo Wana uthibitisho kua Tundu Lisu alipigwa risasi na serikali pia CHADEMA wanatakiwa wajue kua lazima Tundu Lissu ahojiwe na aziweke wazi shutuma zake alizo kua anampelekea Rais moja kwa moja. Na aonyeshe ushahidi. Bila hivyo atataka apande watu kichwani
Swala la tume huru CHADEMA kulilia leo ni sawa na kujiaibisha kama Spika anashtakiwa kwa kuivunja katiba Basi hata chadema nao washtakiwe sababu kuikataa tume iliopo ni sawa na kutaka kuvunja katiba