Uonezi katika udahili 2017, Maombi chuoni na kila chuo unalipa

Ndiyo maana, huwa napenda kuandika kuwa inahitaji hekima na elimu kuhusu mambo mengi sana.
Hii itasaidia ili kabla hatujaomba au hatujapinga jambo, tuhakikishe kuwa tunaelewa faida na hasara na kupima pande zote mbili.

Sasa tena naona wananza kuhamisha magoli kwa kusema kuwa hawakukataa TCU kudahili wanafunzi, bali walihitaji TCU isiwapangie kozi tofauti na walizoomba.

Hii nalo, ukiliangalia vizuri pana kozi daima wanadahili wanafunzi wachache kwa sababu ya aina ya kozi na ufundishwaji wake.

Hapo napo, watakuja na ngojela mpya kuwa walikuwa na point nzuri ila hawakudahili. Bila wao kuangalia kuwa kozi hiyo inadahili wanafunzi kiasi kwa kila intake moja.

Any way, afrika na Tanzania watu wengi ni vilalamishi na kuwafurahisha ni kazi ngumu sana.

Shida ni sisi wenyewe,wenyewe ndio matatizo kwa namna zote.Kuna vitu havihitaji hata kufanyiwa Research.Ni kufanya tu basi.Hatueleweki hata kidogo,hatuna taratibu kabisa.Angalia investment yote ya technolojia iliyofanyika TCU kwisha,kazi tunaenda mbele na kurudi nyuma.
 
Watanzania tunapenda sana kulalamika. Huo mfumo tuliutumia sisi miaka yetu, serikali ikabadili mfumo na watu wakalalamika, leo wameleta kile mlichotaka bado mnalalamika.
Achana nao hawa watu, wana akili fupi kuliko nyumbu...

Mfumo wa tcu ulilalamikiwa sana. Lakini uliwasaidia vijana wengi. Sasa ajabu watu wakaingiza siasa. Mara mgaya hafai, Kwamba mfumo haufai tunataka kama ZAMANI...

Basi Mungu akasikia kilio. Ajabu wamesahau....
 
Haaaa haaaaaa teeeh.
Pole sana, wala hakuna aliyetoa order ya kuondoa admission kupitia CAS ya TCU, bali yalikuwa ni maombi ya wananzengo wenyewe basi, rais akauliza mnahitaji nini!? Wanasema TCU isidahili bali wanafunzi waombe vyuo wanavyooenda mwenyewe.

Rais, akauliza jingine, wakasema hakuna, Baba. Basi, kesho yake watu wakapewa walichoomba.

Any way, hii itatoa funzo la kufanya upembuzi yakinifu kabla ya kuomba jambo Fulani.
Ilikuwa kama kura za BREXIT watanzania walidai kitu wasichojua madhara yake na wakapewa
 
Ilikuwa kama kura za BREXIT watanzania walidai kitu wasichojua madhara yake na wakapewa


Ndiyo hivyo mkuu,
Ngoja sasa wakose vyuo wanavyovitaka ndiyo wataenda kusoma hadi kozi za kufuga bata mzinga huko Namtumbo na kile kijiji cha Zuzu!!
 
Acheni upumbavu nyie wote mlio comment hapo juu...
Ada ya kila chuo haizidi 20k.
Sasa unataka Ku apply vyuo mia ngapi???
Hata TCU yenyewe ilikua maximum vyuo 3 tu.
Gharama almost zile zile
 
Maoni yangu ni kuwa; Ada ya maombi ilipwe na mwanachuo pale anapo-report chuoni. So, kama kaomba vyuo vitatu, atalipa kwa kimoja atakachokwenda.
 
Kulipia application fee ni kawaida sana kwa vyuo almost vyote duniani.

TCU ilikuwa inwasaidia , watanzania kwa kujifanya much know na kuchanua midomo wakaikataa TCU.
Sasa ngoja, watatuliwe wallet zao na vyuo na bado wasipate nafasi maana kozi zina cut off points pamoja na idadi y kudahili kwa intake moja kila mwaka.

Wataikumbuka , TCU kama vile baadhi wanamkumbuka JK.
Were ni mpumbavu! Now its enough. Umekazana eti waliikataa TCU, wale wazee was kule Nanjilinji wanaijua hata hiyo TCU ni nini? Kazi ya serikali ni kuangalia maslahi ya eatu wake wote hata wale wasiojua kitu na sio kukomoa eti mbona kuna wale waliolilia wembe wacha mkatwe.
Tumia hekima unapojadili kitu, unadhani mada imeletwa kwa vile tunaoandika tunashindwa kulipa? Tunao uwezo hata wale kukurudisha chuo na kukulipia, lakini JF sometimes tunaigeuza kuwa jukwaa la wale wasio na pa kusemea ili kuwasaidia.
Hujui kuwa kuna wazazi walikuwa wanashindwa kusomesha watoto primary schools kwa sababu ya michango ya 20000?
Kama hujui hill hata mjadala huu haukufai.
 
Were ni mpumbavu! Now its enough. Umekazana eti waliikataa TCU, wale wazee was kule Nanjilinji wanaijua hata hiyo TCU ni nini? Kazi ya serikali ni kuangalia maslahi ya eatu wake wote hata wale wasiojua kitu na sio kukomoa eti mbona kuna wale waliolilia wembe wacha mkatwe.
Tumia hekima unapojadili kitu, unadhani mada imeletwa kwa vile tunaoandika tunashindwa kulipa? Tunao uwezo hata wale kukurudisha chuo na kukulipia, lakini JF sometimes tunaigeuza kuwa jukwaa la wale wasio na pa kusemea ili kuwasaidia.
Hujui kuwa kuna wazazi walikuwa wanashindwa kusomesha watoto primary schools kwa sababu ya michango ya 20000?
Kama hujui hill hata mjadala huu haukufai.


Sasa Mimi nahusikaje na matatizo yao, sijawatuma wasitafute hela.
Get rich or die trying to get it, if they failed to get rich its their fault.
 
Leo hii kuna vyuo sivitaji.Ila cha kwanza ni 30000/= Tshs,cha pili nikaangalia ni 50000/=Tshs.Aliyeandika mada labda kaka hajaeleweka ila ukiwa una apply ndio utaelewa kisemwacho.Acha tu.Tusishabikie shabikie tu.

Mkuu ko kwa chuo kimoja ni shingap??? Kwann kwengne 30000 cha pili 50000??
 
Kama siaminiamini! Ni kweli walioapply kwa mtindo mpya wametozwa sh.elfu 50 kwa kila chuo????
muongo huyo leo naanza kumuumbua
1
12. SUBMISSION OF APPLICATION FORM



Return the completed application form, ensuring that you have SIGNED THE DECLARATION ABOVE, along with the necessary

supporting documentation and the appropriate (Non-refundable) application fee i.e. Thirty Thousand only (Tshs. 30,000/- forTanzanian applicants or USD 30 for foreigners (Basic Technician Certificate, Ordinary Diploma and Postgraduate Diploma) and Fifty Thousand only (Tshs.50, 000/- for Tanzanian applicants or USD 50 for foreigners (Bachelors and Masters Degree) to be deposited at ACCOUNT NUMBER 01J1013365500 CRDB BANK and attach ORIGINAL BANK PAY-IN-SLIP AND COPY OF RECEIPT ISSUED BY ISW and submit them to:




Rector,

Institute of Social Work,

P. O. Box 3375 Dar es Salaam, Tanzania

Phone: +255 (22) 2774443/2700918

Fax: +255 (22) 2701375.
 
Mlipokuwa mnalalamika TCU inawachagulia vyuo na course msizozitaka kumbe mlikuwa mna beep tu. Watz wengi hata hamjui mnataka nini?
 
Siku JPM akifungua mabweni UDSM alitoa kauli ya kuwataka TCU wasichagulie wanafunzi chuo mkampigia makofi. Sasa mnakuja tena kulalamika baada ya TCU kutekeleza kauli ya boss.

Tuliofaidika na mfumo wa TCU tulikua wapole tukisikitika kwani tunajua kilichokua kinafanyika na "the boss" alichoambiwa ni tofauti.

Hakuna namna tena mwaka huu, tumerudi tulipopakataa na haya ndio matunda yake. Vumilieni tu mnaoomba vyuo mwaka huu.
 
TCU ilikuwa na mapungufu yake, machache. Kuomba vyuoni direct ilikuwepo, ikaonesha mapungufu makubwa. Kwa vile utendaji wetu unakwenda inavyo amuriwa, bila kupata ushirikishi wa walio jikoni, waombaji wengi wenye sifa watajiaminisha kuomba kwenye vyuo maarufu, na watakwama. Ada ya maombi ipunguzwe. Lakini mtu kuchaguliwa vyuo vingi, halikwepeki.
 
Back
Top Bottom