Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,543
Zitto Kabwe anahofia Dk.Tulia Ackson kutumia mwanya wa kujua kwa undani sakata la TPDC na kuiokoa serikali na hoja ambazo Zitto Kabwe anategemea kuziibua na kuziendeleza.
Tujikite kwenye hii para tu, so kwa maneno yako kuibua uozo TPDC kumbe ni jinai? Usije kuwa ndiye Tulia mwenyewe au huyo Andilile