Uoga wa Zitto Kabwe kwa Tulia Ackson

Uoga wa Zitto Kabwe kwa Tulia Ackson

Ukiwa ccm ubongo wako unafutwa akili lazima uwe mjinga hatakama ukiwa profeser lazima utakuwa sawa na mtoto wa chekechea sosimshangae mtoa mada
 
Mleta mada ni mtu wa hovyo kuanzia unyayoni mpaka utosini...hivi kati ya zungu na huyo Dr unadhani ni yupi anayeiweza hiyo nafasi?mie ni mpinzani lakini Zungu anatosha kwa hiyo nafasi!
 
Mwache zitto aumbuke maana amezidi unafiki! Mungu huwa hamfichi mnafiki hatimae mwisho wa Yuda Iskariot umefika sasa sijui nayeye ataishia kujinyonga.
 
Zitto ni mtu safi na uadilifu na uzalendo wake kwa taifa letu,hakika Hao mawakala wa ufisadi watadhibitiwa na Zitto na wapinzani bungeni
 
Zitto ni mtu safi na uadilifu na uzalendo wake kwa taifa letu,hakika Hao mawakala wa ufisadi watadhibitiwa na Zitto na wapinzani bungeni

Yaani unamaanisha Wapinzani CHADEMA ndio watadhibiti MAFISADI????haya maajabu ya Musa kweli dunia inakaribia mwisho....Neno FISADI halipo kwenye dictionary ya CHADEMA.
 
Cheo cha Naibu mwanasheria sheria raisi amekitengua sasa amechaguliwa kama mbunge pia amepitishwa na CCM kuwania nafasi ya unaibu spika.

Kwani rais ana haraka gani? Ona sasa anapanga na kupangua safe! Kwa nini asifanye kama yule rais wa Nigeria?? Amejipa muda wa kutosha wa kupanga safu yake.
 
Huyu kaletwa Bungeni na Rais kwahivyo atafanya kazi kwa maelekezo ya Rais. Kwa hivyo Bunge halitokua huru.
Huyu ni Msaidizi mwana sharia ambaye ni CCM.
nadhani spika wa bunge na msaidizi wake waache uaanachama ili waongoze kazi sawa
 
Huyu kaletwa Bungeni na Rais kwahivyo atafanya kazi kwa maelekezo ya Rais. Kwa hivyo Bunge halitokua huru.
Huyu ni Msaidizi mwana sharia ambaye ni CCM.
nadhani spika wa bunge na msaidizi wake waache uaanachama ili waongoze kazi sawa

Ila Bunge ni chombo kilichoundwa kwa basis ya vyama vya kisiasa. So haikwepeki!
 
Hoja nzto ya Zto inajbiwa kiwepesi kabsa na akili ndogo.
Elimu, elimu, elimu.
 
The Tomorrow People;

Zito ana haki ya kutoa maoni yake bila ya kuingiliwa na mtu so mwache usitake atoe mani kulingana na wewe utakavyo
 
Last edited by a moderator:
Zito yupo sahihi hii njia inayotumika kumuingiza huyu dada yetu Tulia inaleta utata mkubwa sana. Lakini maajabu makubwa ngoja tusubiri wenda yatakuwa na matokeo. Ila nampa siku mia moja Rais Magufuli za kumpima kama amefiti ikulu.
 
Alihomaanisha zito huwezi kuchaguliwa na rais uwe naibu spika,yaan haiitaji elimu ya chuo kuliona ilo.hulka ya wanadamu ni kumtumikia alyemfanyia mazuri,sasa hapo huon kuwa uyu naibu spika atalinda maslai ya serikal?kama hata ilo hujaliona bas hufai kuitwa binadamu

...kwani Zitto analinda maslahi ya nani kule bungeni? zaidi ya unafiki wake wa kun'gata na kupuliza?
Eti baadhi yenu mnamuona Zitto mpinzani?!
 
Back
Top Bottom