Unywaji wa energy drinks

Unywaji wa energy drinks

Halaf ieleweke wazi kuwa hakuna kinywaji amabacho sio sumu,kuanzia soda,juisi,maji pia n sumu,bia n sumu,konyagi n.k....only the dose can determine iwe sumu au iwe chakula......hata oxygen ikiwa nying n sumu na unakufa bcoz of oxygen toxicity.....mkiwa mnawaza madhara ya kila mnachoingiza tumboni walahi hamtakula chochote.....cha msng n kutumia right dose as indicated by producers
Tatizo ni pale watu wanapotumia kama ni substitute ya chakula au wanapotumia bila kuzingatia kiwango kinachoruhusiwa
 
Wana jina maarufu, wanaita "Booster".

Vinywaji hivi vinatembea sana. Na sidhani kama watumiaji wana uelewa sahihi juu ya matumizi ya vinywaji hivyo.

MO Energy inauzika sana kwa sababu ina ujazo Mkubwa kuliko Azam ijapokuwa bei ni moja.

Red Bull, Dragon na Kung Fu zenyewe bei ipo juu ila zinatembea.
Hebu toeni hiyo basi...maake naona ni kama nanyi mnalalama tu ,_eti watu hawana elimu.
 
Energy drink inamixiwa na konyagi hatari sana,only in Africa.

Nakunywa Redbull asubuhi kuondoa Hangover.
 
Mkuu nmeuliza kuhitaji kujua nlichosikiaga ili kufahamu kwa sababu lipo hapa jukwaani, Swala la kunywa hili lipo ndani ya sheria zangu kwamba huwa situmii kitu chochote zaida ya fresh juice na pure water pekee. Hizo taarabu zingine achia watu wa pwani, mbona hutendei vyema jina lako
Ndugu, pure water ndiyo yakoje? Nisaidie nielewe pia mkubwa
 
wabongo huwa tunaendaga na kiki...
kinacho kiki sasa hivi ni hayo madude wacha watu wayanywe tu
 
Elimu ya nini mkuu...hebu fafanua hiyo energy ina madhara gani
Hata juu ya chupa wameandika, usinywe zaidi ya chupa moja kwa siku, vijana wanabugia hata tatu , usinywe wakati unaenda kulala, vijana wanabugia muda wote hata usiku, side effect iko kwenye mfumo wa moyo maana inasukuma zaidi dam kuliko kawaida
 
Hata juu ya chupa wameandika, usinywe zaidi ya chupa moja kwa siku, vijana wanabugia hata tatu , usinywe wakati unaenda kulala, vijana wanabugia muda wote hata usiku, side effect iko kwenye mfumo wa moyo maana inasukuma zaidi dam kuliko kawaida
Kuna dogo huko Nigeria aliwekewa pesa na kopo 8 za redbull akaambiwa amaliza mshiko ni wako.

Basi tamaa ya pesa ikichangiwa na sifa si ndiyo akanywa kwa pupa, alipomaliza chupa ya nane akaanguka hakuinuka tena.

Watu walipokuja kumuinua hali mbaya, wakaamua kumkimbiza hospitali napo hakufika. Akafia njiani
 
Source ya taarifa yako? Maana uandishi huu ni kama w kijiweni. Hauna source.

Kuna dogo huko Nigeria aliwekewa pesa na kopo 10 za redbull akaambiwa amaliza mshiko ni wako.

Basi tamaa ya pesa ikichangiwa na sifa si ndiyo akanywa kwa pupa, alipomaliza chupa ya nane akaanguka hakuinuka tena.

Watu walipokuja kumuinua hali mbaya, wakaamua kumkimbiza hospitali napo hakufika. Akafia njiani
 
Nahisi ukinywa kwa malengo sio mbaya maana ni kweli ukinywa mwili unabadilika sana
Ukinywa uchovu na usingizi vyote vinaondoka kuna siku nilichoka sana na nilitakiwa ni drive na hakukuwa na muda wa kupumzika nikanywa moja aisee ilinisaidia sana
 
Binadamu ameumbiwa kiburi na majivuno . mfano sigara imewekwa na onyo kabisa bado mtu anavuta tena pakiti zaidi hata ya moja kwa siku. Ndo iwe energy drink.? Watu wanaona yale maelekezo ni ya wagonjwa,watoto na watu wanyonge wanyonge. Soo sad
 
Back
Top Bottom