Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,129
- 8,374
- Thread starter
- #21
Tatizo ni pale watu wanapotumia kama ni substitute ya chakula au wanapotumia bila kuzingatia kiwango kinachoruhusiwaHalaf ieleweke wazi kuwa hakuna kinywaji amabacho sio sumu,kuanzia soda,juisi,maji pia n sumu,bia n sumu,konyagi n.k....only the dose can determine iwe sumu au iwe chakula......hata oxygen ikiwa nying n sumu na unakufa bcoz of oxygen toxicity.....mkiwa mnawaza madhara ya kila mnachoingiza tumboni walahi hamtakula chochote.....cha msng n kutumia right dose as indicated by producers
