Unywaji wa energy drinks

Unywaji wa energy drinks

Wengi ni bendera fata mkumbo,hawajui wanainywa kwa sababu ipo hasa. Kuna mmoja niliona anakunywa zaid ya mbili kumuuliza akasema anasikia itampa nguvu hakufafanua nguvu gani
Kuna co workers hapa wanakipenda sana hicho kinywaji. Uenda kina ulaibu so wanakuwa addicted.
 
Achana nao bana watu walipewa Elimu kuhusu sigara kiko wapi.Sasa watu washajichokea kutoa elimu tena energy ina sukari hawawezi acha.Sasa hebu fikiri sigara ni moshi uliotiwa ladha tu itakuwa Energy yenye sukari tena kimiminika
 
Sisi wenye akili ndo maana tunanyamaza kimya tu. Mimi nlifundishwa kuhoji na wazazi wangu na si kuamini kila kitu. Kwa majibu yako haya sasa nmeelewa tatizo ni nini. Muwe mnasema kuwa hoja hii wenye akili msije tubaki sisi tu peke yetu. Yaani nyie. 😂😂😂 Ambao hamjui hata kufanya utafiti mdogo mnaamini tu mkiambiwa jambo.akili za kuambiwa hamchanganyi na zenu.

Basi pita hivi

Ikiwa kitu hukiamini, hulazimishwi uamini. Baki na msimamo wako huohuo. Mwache ambaye post ilimlenga ndiyo aje kuhoji, usifanye udeiwaka
 
Maji yapi unazungumzia? machafu au haya haya masafi na salama.

Bila maelezo ya ziada komenti yako ni Uzushi na Porojo.
Maji ni sumu,haya haya safi,maji yakiwa mengi mwilini huleta water intoxication ambayo husababisha seli nyekundu za damu kupasuka(hemolysis),hata oxygen tunayovuta,ukipewa oxygen nying utakufa due to oxygen toxicity inayoua cells....everything is either a poison or a remedy depending on the dose u take..,.
Bia,soda,n k madhara yake hutegemea kias unachokunywa
 
Mkuu kuna siku nlisikia kijiweni wanasema ukinywa iyo kitu unakuwa freshi sana kunako sita kwa sita. Sikupata mtu wa kuuliza tena je ni kweli?
Kijaribishio si unacho? Ama huna??
 
Wana jina maarufu, wanaita "Booster".

Vinywaji hivi vinatembea sana. Na sidhani kama watumiaji wana uelewa sahihi juu ya matumizi ya vinywaji hivyo.

MO Energy inauzika sana kwa sababu ina ujazo Mkubwa kuliko Azam ijapokuwa bei ni moja.

Red Bull, Dragon na Kung Fu zenyewe bei ipo juu ila zinatembea.
Wameandika pale chini ya chupa, "usinywe zaidi ya chupa mbili kwa siku"

Au kuna elimu nyingine?
 
Mkuu kuna siku nlisikia kijiweni wanasema ukinywa iyo kitu unakuwa freshi sana kunako sita kwa sita. Sikupata mtu wa kuuliza tena je ni kweli?
Ukitaka upotee kwenye ramani ya mchezo wa sita kwa sita anza michezo ya kunywa chochote kisha ndiyo upige game
 
Hizo mo energy huwa zinanipa mashaka sana na sijui kwann, nais machale yangu tu
 
Wengi ni bendera fata mkumbo,hawajui wanainywa kwa sababu ipo hasa. Kuna mmoja niliona anakunywa zaid ya mbili kumuuliza akasema anasikia itampa nguvu hakufafanua nguvu gani

Unakuta tayari ameshatengeneza utegemezi 'dependance' ,ni kama mvuta sigara na asipoinywa anahisi kuna kitu amepungukiwa.
 
Wanaume wajinga watafanya chochote kinachodaiwa kuongeza nguvu za kiume isipokuwa kula vizuri na kufanya mazoezi; wanawake wajinga nao watafanya chochote kile kinachodaiwa kupunguza mwili isipokuwa kula vizuri na kufanya mazoezi.
 
Sisi wenye akili ndo maana tunanyamaza kimya tu. Mimi nlifundishwa kuhoji na wazazi wangu na si kuamini kila kitu. Kwa majibu yako haya sasa nmeelewa tatizo ni nini. Muwe mnasema kuwa hoja hii wenye akili msije tubaki sisi tu peke yetu. Yaani nyie. Ambao hamjui hata kufanya utafiti mdogo mnaamini tu mkiambiwa jambo.akili za kuambiwa hamchanganyi na zenu.
Halafu wenye akili hawajitangazi hutangazwa, napata shaka una hitilafu.
 
Dawa asili na halisi ya uchovu ni Kupumzika

Dawa asili na halisi ya usingizi ni kulala

Fanya hivyo ili upate Afya bora.
 
Hizo mo energy huwa zinanipa mashaka sana na sijui kwann, nais machale yangu tu
Zipo energy drink nyingi si mo peke hake... Nachozungumzia hapa ni energy drink kwa ujumla wake.. Watu wanapaswa kufahamu kwamba energy drink hazikupi nguvu.. Zinachochea mwili kuzalisha nguvu kupitia hyo caffein iliyopo.. Sasa watu wanakunywa bila kula matokeo yake mwilo unafosiwa kutengeneza energy from nothing..
 
Back
Top Bottom