Unywaji wa energy drinks

Unywaji wa energy drinks

Usifikir wew rikoboy hata uwe na imani kubwa vip huwez tenda miujiza peke yako.

Lazima uchague unaiman kwa Mungu au kwa shetani
Yaah mkuu... ni kweli! So mtu anaweza akawa anaumwa tumbo akanywa Panadol akaamini atapona na akapona..!! Wewe hapo unaelezeaje mechanism ya panadol kutibu tumbo la kuharaa???
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kunywa kwa wingi energy drinks wakitumia hvyo wakidhani huo mbadala wa chakula.

Sijajua if elimu ya kutosua inatolewa kwa nguvu kazi hii ya taifa mana ukitembelea vibanda vngi utakuta vijana wengi wamebeba mo. Energy.

Mamlaka zinazohusika tafadhalini sana.
vyenyewe vimeandikwa kabisa usinywe zaidi ya moja sema kwa maneno madogo madogo. Halafu energy drink ni ka dawa za kulevya zina additction kwakuwa nalala mechelewa nikipga kazi kila usku lazima nipige moja
 
Energy drinks hizi zinakuwa na kiwango fulani cha Cafein ambacho kinachangamsha mwili, kuondoa uchovu, kinakupa stamina na nguvu. Wengi huwa wanaziogopa, na hata mtu akikuona unakunywa anakwambia blah blah blah! Unakuta mtu anavuta sigara, anakunywa soda, konyagi au biere lakini anakwambia energy drinks zina madhara. Hoja ya msingi, ni unakunywa kwa kiasi (chupa moja kwa siku), na hunywi mara kwa mara, yaani isiwe kila siku we unagonga tu, too much is harmful! Side effects inatokea sana kwa watu wako sensitive to cafein! Pia ni 'booster' nzuri kama unataka 'kunjunja' na hujala msosi wa nguvu au mwili umechokachoka, try it!
 
Mimi nimesoma udactali
Hiyo kitu hakuna kabisa.

Kumbuka tu kuwa sio kila ugonjwa kupona hadi dawa, kuna matatizo mengine huwa yanajifix tu yenyewe mwilini.
Mfano kuumwa kinywa,
Kinaweza kupoa chenyewe tuu.
Au ukaadd na kunywa maji meng kikapoa but maji ni tiba pia
Yaah mkuu... ni kweli! So mtu anaweza akawa anaumwa tumbo akanywa Panadol akaamini atapona na akapona..!! Wewe hapo unaelezeaje mechanism ya panadol kutibu tumbo la kuharaa???
 
1. Pale mtu anapokwepa kunywa bia eti aliambiwa pombe ni haramu halafu anakwenda kunywa energy inayokwenda moja kwa moja na kwa haraka kuushambulia moyo.

2. Pale mtu anapokwepa kula nguruwe eti aliambiwa ni haramu halafu anakwenda kula mbuzi ambayo inakwenda moja kwa moja kwenye kushambulia moja kwa moja kwenye viungo na kukufanya kilema.
 
Mimi nimesoma udactali
Hiyo kitu hakuna kabisa.

Kumbuka tu kuwa sio kila ugonjwa kupona hadi dawa, kuna matatizo mengine huwa yanajifix tu yenyewe mwilini.
Mfano kuumwa kinywa,
Kinaweza kupoa chenyewe tuu.
Au ukaadd na kunywa maji meng kikapoa but maji ni tiba pia
Mkuu sawa... me nimesoma famasi..!! Ndo maana sometimes Hosp unaweza pewa placeblo tu then ukapona lakini huambiwii.. Wewe utajipa imani kuwa hii dawa nikinywa nitapona and it works kabisa...
 
Hiyo dawa unayoisema haitibu magonjwa yenye vimelea yani wadudu (bacteria)
Inasaidia katika magonjwa ambayo mala nyingi visababishi ni vichochez fulani mwilini.

So na hiyo dawa inaenda kufanya ochochez fulan mwilini.
Ndo maana inasaidia mtu anapata nafuu.

Lakini mtu akija ukampa placeblo na huku yeye ana vimelea vya malaria
Asee hapo mkuu utasababisha mtu afe kwa malaria. Hta kama ailikua na iman kuwa atapona.
Mkuu sawa... me nimesoma famasi..!! Ndo maana sometimes Hosp unaweza pewa placeblo tu then ukapona lakini huambiwii.. Wewe utajipa imani kuwa hii dawa nikinywa nitapona and it works kabisa...
 
Sijawahi kuamni kma zinaongeza nguvu za kiume...ila kama una usingizi na hutaki kulala una kazi unatak kuimalizia kuywa sasa ndio utaona shughuli yake...ila ikiisha kichwani utalala usingizi kama chatu aliemeza kondoo...ha ha usingizi haudhurumiwi...ila kipindi niko chuo zilinisaidia sana hasa zile za azam
 
Hiyo dawa unayoisema haitibu magonjwa yenye vimelea yani wadudu (bacteria)
Inasaidia katika magonjwa ambayo mala nyingi visababishi ni vichochez fulani mwilini.

So na hiyo dawa inaenda kufanya ochochez fulan mwilini.
Ndo maana inasaidia mtu anapata nafuu.

Lakini mtu akija ukampa placeblo na huku yeye ana vimelea vya malaria
Asee hapo mkuu utasababisha mtu afe kwa malaria. Hta kama ailikua na iman kuwa atapona.
Eehe so hapo ndo inakuja point sio kila ugonjwa placeblo inatreat mkuu... Mtu ana celebral malaria unampa placeblo noo thank u... Hata imani ina limit yake! Simple like that... Ila mtu anasema ana upungufu wa nguvu za kiune hawezi kufanya mpaka anywe sildenafil..siku akija ukimpa kidonge kinachofanana na sildenafil lakini ndani hakuna active chemicals unakuta still anaperform vizuri kabisa bed...
 
Kweli
Eehe so hapo ndo inakuja point sio kila ugonjwa placeblo inatreat mkuu... Mtu ana celebrla malaria unampa placeblo noo thank u... Hata imani ina limit yake! Simple like that...
 
Sitasahau tulienda kuchumbia kijiji fulani kumbe muoaji kazoea energy drinks kutokana na kazi zake site polini hivyo chakula kilikuwa adimu anabeba vitafunwa na energy mpaka jioni, bhanaa wee kule ukweni tukaambiwa tuagize vinywaji jamaa aliagiza energy tulitaniwa mpaka jamaa akakasirika hahaa
 
Back
Top Bottom