moj6
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 3,354
- 5,006
Umenikumbusha mwalimu wangu wa toxicology alikuwa anasema "everything is poison,but poisoning depends on dose"Halaf ieleweke wazi kuwa hakuna kinywaji amabacho sio sumu,kuanzia soda,juisi,maji pia n sumu,bia n sumu,konyagi n.k....only the dose can determine iwe sumu au iwe chakula......hata oxygen ikiwa nying n sumu na unakufa bcoz of oxygen toxicity.....mkiwa mnawaza madhara ya kila mnachoingiza tumboni walahi hamtakula chochote.....cha msng n kutumia right dose as indicated by producers

ipo siku watu watakufa wamesimama bar