Namuona NANI na IBRAHIMOVICH
kwa vile ni Waarabu Umoja wa mataifa utanyamaza kimyaa!! Ingekuwa kauwawa Mzungu Dunia nzima ingesimama,Where's the HUMAN RIGHT WATCHDOG?
Namba Moja walianza hivi...
View attachment 165685Badae wakawekwa sehemu hii wakanza kumiminiwa risasi
View attachment 165686
Inauma sana ukiona video hii nikipewa ruhusa ya kuiweka humu nitafanya hivyo na Uongozi wa JF
View attachment 165688View attachment 165690
Eti wanapigania dini ya ALLAH! Huyo Mungu , huyo Mungu!
Faiza Foxy hivi vita vinavyoendelea huko Iraq ni vya kikabila au ni vya baina ya madhebu ya kiislam? cc Faiza Foxxy
Ni kati ya suni na Shia sects! (Namjibia Faiza, lakini atakuja tumsikie)
Hey what the hell are you saying?UISLAM ni dini ya haki.
hao wauaji watazawadiwa mabira 70 na waliouwawa wataenda motoni!!!