Unyama huu kamwe auvumiliki.

Unyama huu kamwe auvumiliki.

Mkuu NAPITA maomba uitupie kwenye whatsapp yangu(0768297745)hii video
 
Last edited by a moderator:
Tupia hiyo video basi. Kama huwezi toa link tuifuate huko huko machimboni.
 
Kazi ya allah hii!

Allah hajafundisha watu kuuwana na wala uislam haujafundisha watu kuuwana wala uislam sio sunni wala shia na wala sio Iraq au Iran..
Uislam ni Quruan ukiifuata Quraan inavyosema huwezi kuuwa na Allah ametuleta duniani na ametupa Muongozo wa kuishi juu ya dunia kupitia Quruaan.
Wako watu wanatumia kivuli cha uislam kufikia malengo yao kidunia lakini..
Lakini sio uislam unavyo amrisha kwahiyo usiuchafue uislam kwa ajili ya uchafu wa muislam.
Nisawa leo akamatwe MT china na unga halafu uhukumu TZ yote kwa uchafu watu mmoja binafsi.
Pia jiepushe na kukashif au kukebehi mungu wa watu wengine ukifanya hivyo utaepusha kukashifiwa au kukebehiwa mungu wako.
 
Boko Haramn Isis, Al - shabab, Brotherhood, Al - qaeda, kurdi, Boko halal wote vikundi vya waislamu.

Dini gani hii, bunduki mkononi ndiyo njia pekee ya kutafuata suluhu.

Waislamu wahubiriwe upendo wa Kristo wamjue Mungu wa Upendo kuliko kuendeleza chuki.

Ndugu nakusalimu kwa salaam alotufundisha mbora wa Viumbe ambaye ni mtume Muhammad (swalallah alaiyh wasalaam) ASALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH kwa salaam hiyo ni juu ya kumtakia amani mwanadamu mwenzangu na uislam ni dini ya amani siku zote.
Lazima tujifunze kutofautisha kati ya Uislam na Muislam kwani uislam ni mfumo wa maisha ambao unamtaka mwanadamu kujisalimisha kwa mwenyezi mungu mmoja na kufanya matendo yalo mema na muislam ni mwanadamu ambaye ameamua kujisalimisha kwa mwenyezi mungu mmoja lakini ikumbukwe ya kuwa mwanadamu huyo kaumbwa na khiyari ya kufanya mambo na ndo maana unakuta wanafanya maasi wakati si mafundisho ya uislam.
Kikubwa ukitaka kuhukumu jambo jitahidi ulifahamu kiundani,hakika hakuna dini yenye mafundisho bora na sahihi zaidi ya Uislam!
 
Boko Haramn Isis, Al - shabab, Brotherhood, Al - qaeda, kurdi, Boko halal wote vikundi vya waislamu.

Dini gani hii, bunduki mkononi ndiyo njia pekee ya kutafuata suluhu.

Waislamu wahubiriwe upendo wa Kristo wamjue Mungu wa Upendo kuliko kuendeleza chuki.

haswaaaaaa
 
Hey what the hell are you saying?
You better watch out about what your saying, Just imagine if you were the one or part of your family died that kind of death you couldn't dare saying something like that. Coz the pain that remain to their family after their relatives death are so much painful..... I'm so shocked about what you wrote but sorry kama ntakua nimekukwanza buti is not a big deal to support and saying stupid things while you don't know how painful your word are to other people.

kwa mujibu wa Quran watapewa mabira sabini hao wauaji,si raha mkuu?
 
Eti wanapigania dini ya ALLAH! Huyo Mungu , huyo Mungu!

Wagombanapo ndugu wawili.... chukua jembe ukalime.!!!!!!
Sisi wengine hatujui wanachogombania, kwa hiyo tunakomaa na midundo ya Diamond Platinumz...!!!
 
Ndugu nakusalimu kwa salaam alotufundisha mbora wa Viumbe ambaye ni mtume Muhammad (swalallah alaiyh wasalaam) ASALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH kwa salaam hiyo ni juu ya kumtakia amani mwanadamu mwenzangu na uislam ni dini ya amani siku zote.
Lazima tujifunze kutofautisha kati ya Uislam na Muislam kwani uislam ni mfumo wa maisha ambao unamtaka mwanadamu kujisalimisha kwa mwenyezi mungu mmoja na kufanya matendo yalo mema na muislam ni mwanadamu ambaye ameamua kujisalimisha kwa mwenyezi mungu mmoja lakini ikumbukwe ya kuwa mwanadamu huyo kaumbwa na khiyari ya kufanya mambo na ndo maana unakuta wanafanya maasi wakati si mafundisho ya uislam.
Kikubwa ukitaka kuhukumu jambo jitahidi ulifahamu kiundani,hakika hakuna dini yenye mafundisho bora na sahihi zaidi ya Uislam!

Ahsante kwa maelezo mazuri. Natatizwa na tabia ya viongozi wa kiislamu pamoja na waumini wao kutokukemea viongozi wa vikundi hivi vya kigadi.

Dini zingine hakuna vikundi vya kigaidi ila waislamu, najiuliza sababu nini ?
 
[video=youtube_share;f1XIA9ycRVg]http://youtu.be/f1XIA9ycRVg[/video]
 
Back
Top Bottom