University offer ya voda imebadilishwa au?

University offer ya voda imebadilishwa au?

Joined
Dec 6, 2017
Posts
29
Reaction score
19
Habari wana bodi,
Nadhani mtakubaliana nami kuwa university ofa ni suluhisho na ni mbadala wa kubana matumizi katika mitandao ya simu.

Leo katika kuangalia menu nimekuta ofa moja tu ambayo nayo bei imebadilika na kuwa tsh.3000 je menu imebadilika au ni kwangu tu imetokea hivi.Pia au menu ya *149*42# imebadilishwa?


Note:Laini hii niliisajiri kipindi nikiwa chuoni,sasa nimemaliza
 
kuna mshkaji wangu ametumiwa Link na voda a- update taarifa zake ikiwemo na kupiga picha kitambulisho chake cha chuo lakini mpaka sasa ni mwaka wa 4 tangu amalize chuo na ID alipoteza
 
Mie nilikuwa najiunga ile ya Dar Supa Uni naona wamebadilisha wameweka siku 7 ni 5000 baada ya 2500.
Screenshot_20190215-144613.png
 
Hili tatizo niljua kwangu tuu, Kuna kipnd nlkuwa nikinunua mb zinaisha kama upepo, nikawa nawaumbua twitter wakaona aibu wakawa wananifata privately wakaomba namba wakanipigia nilimmaindi yule mhudumu kuanzia SKU ile mpk Leo mb zangu hazijawahi isha kindezi ndezi
 
Binafsi ni mteja wa voda ila kwa hili ni kutafuta mbadala mapema,ni mtandao gani unaotoa ofa za bando la uhakika kwa wiki kwa gharama nafuu?
 
Hii ni nafasi nzuri kwa mitandao mingine kuwavutia hawa watu ambao vodacom inaonekana kuwachoka, husasani tigo na TTCL wenye 4G changamkieni wateja.
 
Habari wana bodi,
Nadhani mtakubaliana nami kuwa university ofa ni suluhisho na ni mbadala wa kubana matumizi katika mitandao ya simu.

Leo katika kuangalia menu nimekuta ofa moja tu ambayo nayo bei imebadilika na kuwa tsh.3000 je menu imebadilika au ni kwangu tu imetokea hivi.Pia au menu ya *149*42# imebadilishwa?


Note:Laini hii niliisajiri kipindi nikiwa chuoni,sasa nimemaliza
Watakuwa wamemtaarifu Vice Chancellor wa cho unachosoma, nenda kamuulize.
 
Back
Top Bottom