Warrior
JF-Expert Member
- Oct 2, 2015
- 733
- 752
Kuna classmate wangu kapata jana MD cuhas(Bugando)
Mkuu mbona huyu ameambiwa bado selection kutolewa hapo bugando
Kuna classmate wangu kapata jana MD cuhas(Bugando)
Jiongeze tu mkuu..Nipeni taarifa jamani, SUA hadi mda huu me sielewi leo tar 30
SUA mbona kimya hadi sasa huku kwenye account..?
Tafuta pdf ya TCU uwa wana toa majna ya wenye mulitple selection na vyuo walivyo kua selectedWakuu me niliomba vyuo kama vinne hivi
Nimeingia kwenye account zangu majibu Ni kama ifuatavyo
Udsm nimekosa
Sua Bado hawajatoa taarifa yoyote
CAWLM MWEKA Bado hawajatoa taarifa yoyote
MUCobs nimechaguliwa
Chakushangaza Ni kwamba kwenye status wameandika Nina multiple selection ila katika vyuo nilivyoangalia majib yakuwa selected nimepata yapo kwenye chuo kimoja2
Wakuu naomba msaada wenu wa kimawazo
Bado hawajatoaTafuta pdf ya TCU uwa wana toa majna ya wenye mulitple selection na vyuo walivyo kua selected
Sijui tatizo ni nini hata kcmc kuna watu wanaambiwa bado..Mkuu mbona huyu ameambiwa bado selection kutolewa hapo bugando View attachment 1615805
Mkuu mbona huyu ameambiwa bado selection kutolewa hapo bugando View attachment 1615805
Sijui tatizo ni nini hata kcmc kuna watu wanaambiwa bado..
Kcmc tayari kitambo sana..Kwan kcmc teari
cancel vyoteNime be admitted vyuo viwili .. nifanye je?
maswali gani haya ya kipuuzi we jamaaa...?Nime be admitted vyuo viwili .. nifanye je?
jamaa sijui anakwama wapicancel vyote
jamaa sijui anakwama wapi
Mkuu wameshatoa toka janaSUA mbona kimya hadi sasa huku kwenye account..?
NdioKuna aliyepata matokeo kwenye second round chuo cha SUA
Mwenyewe sijajibiwa.. Ila hata kwenyeweb yao hawajatoa PDFKuna aliyepata matokeo kwenye second round chuo cha SUA