Kivipi tenaRound hii naona wa diploma mungu kalala upande wao
naona round II Wengi wamepataKivipi tena
Kuna chuo ulichaguliwa??Huu ujumbe una maana gani wadau?View attachment 1616944
Mi naona kama umesha submit application af kuna kitu ukajaribu tena kufanya ndio ukapewa huo ujumbe wa kuku tahadharisha
Kuna chuo ulichaguliwa??
sawa kijana wakati mwingine ni vyema ukawa humble yu never knowHautakusaidia maishani
F̤̈ä̤c̤̈ẗ̤ .....j̤̈ä̤m̤̈ä̤ä̤ ä̤l̤̈ï̤j̤̈ï̤b̤̈ṳ̈ b̤̈ï̤l̤̈ä̤ k̤̈ṳ̈f̤̈ï̤k̤̈ï̤r̤̈ï̤ä̤sawa kijana wakati mwingine ni vyema ukawa humble yu never know
na hujui ni nani ataekusaidia kwenye hilo
but anyway no problem it was jus askn nijue namna ya kukushauri na kukupa hints fulani PM ila no problem.
Unajua inahusiana na nini?..na vipi upande wa ajira...?...Kwanini?
Msamehe bure..itakuwa alipanic na maswala ya selection... Vitu vidogo tu hivo mzee...kama inawezekana msaidie.sawa kijana wakati mwingine ni vyema ukawa humble yu never know
na hujui ni nani ataekusaidia kwenye hilo
but anyway no problem it was jus askn nijue namna ya kukushauri na kukupa hints fulani PM ila no problem.
Umeandika kwa hisia sana mkuu.! Nahisi maumivu uliyoyapata baada ya kuona jibu ulilopewa.sawa kijana wakati mwingine ni vyema ukawa humble yu never know
na hujui ni nani ataekusaidia kwenye hilo
but anyway no problem it was jus askn nijue namna ya kukushauri na kukupa hints fulani PM ila no problem.
UDOM wametoa tangu 26/10Sua hadi admission letter wameshatoa leo leo...
Hahaha kaka mambo yanaendajeDaaah.. Nitaweka tu aseeh..
Round Iliyopita niliweka kozi za kibabe tupu So naona kimya wakat matokeo tangu yapo conc tu
Sie kila tukiomba hatukosi, itakuwa tunafuata mashati yaliyowekwa na TCURound hii naona wa diploma mungu kalala upande wao
Fresh kaka.. Umepata chuo gani au ni Continuing student..?Hahaha kaka mambo yanaendaje
Nimepata UDOM 1st round kaka, nasubiri mkopo tuFresh kaka.. Umepata chuo gani au ni Continuing student..?
Upo College gani Kwanza, Nikupe ramani na chimbo zuri la msosi ujasi!?? MkuuNimepata UDOM 1st round kaka, nasubiri mkopo tu