vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,310
- 868
Ambavyo hayajatokaIla Kuna message nimetumiwa kwamba Nina multiple selection ila cjui Ni vyuo gan
Ambavyo hayajatokaIla Kuna message nimetumiwa kwamba Nina multiple selection ila cjui Ni vyuo gan
Hapana leo hii ngoja niscreeshotAmbavyo hayajatoka
umekosa second round?kwan hakuna third round mwaka huu au ndiyo round ya mwsho hii
Umetumiwa message kwenye namba ya simu..?Ila Kuna message nimetumiwa kwamba Nina multiple selection ila cjui Ni vyuo gan
umekosa second round?
nimekosa mkuu sasa sjui kama kuna 3rd roundumekosa second round?
ooh pole sana..nimekosa mkuu sasa sjui kama kuna 3rd round
Account yako inasemaje kwa sasa..?Sua niliomba ila hawajanipa taarifa zozote Mr
Vp mkuu umepata second roundAccount yako inasemaje kwa sasa..?
Sijapewa taarifa ya kupata wala kukosa... Sijui ndo kukosa kwenyewe huko.!!Vp mkuu umepata second round
Ndio mkuu nimetumiwa kwenye cmUmetumiwa message kwenye namba ya simu..?
SUA wadau wanasema badoNdio mkuu nimetumiwa kwenye cm
Daaah hapa ngoja tusubiri Hadi keshoSUA wadau wanasema bado
Wakuu naomba msaada hapa nashindwa kuchagua niende wapi kati ya UDSM-MCHAS (mbeya) na UDOM.. Kote kozi ni DOCTOR OF MEDICINE
Ushauri tafadhali kwa wenye experience
Nenda UDOM mkuu, Nimesoma hapo na napajua vizuri tu!!!Wakuu naomba msaada hapa nashindwa kuchagua niende wapi kati ya UDSM-MCHAS (mbeya) na UDOM.. Kote kozi ni DOCTOR OF MEDICINE
Ushauri tafadhali kwa wenye experience
Iyo kozi jau...Udsm, Mzumbe tayari.
Naambiwa nina multiple selection, hivyo vyuo vingine ( udom & tudarco) matokeo bhado
Sasa kivipi nina multiple selection?View attachment 1615380