Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,614
- 8,055
"You were not invoiced in our system, please re-register or constant us"
Hii imekaajeh Wakuu..?
Ndo ujumbe wa SUA?
"You were not invoiced in our system, please re-register or constant us"
Hii imekaajeh Wakuu..?
Nd niliuona morning ila baada ya mna niliingia kwa account yangu nikakuta iko fresh.. Labda ilikuwa mtandao tu maana hata jana website ya SUA ilikuwa haifungukiNdo ujumbe wa SUA?
Sasa naona imerudi katika hali take ya kawaidaJisajili upya au wasiliana nao! Ndio walichomaanisha, inaonekana haukuingizwa kwenye system..
Nd niliuona morning ila baada ya mna niliingia kwa account yangu nikakuta iko fresh.. Labda ilikuwa
Sasa naona imerudi katika hali take ya kawaida
Hvyo kjna,, itakuwa mtandao tu..Apo basi frsh
Maana huna mshikaji wangu alikuwa anajua username na password yangu ila nilibadilisha password faster.. So nawazia hilo maana watu hawa hawaaminiki..Apo basi frsh
Mkuu, hv ukiwa selected SUA unatumia SMS hata kabla jina halijarudi TCU..?Ndo ujumbe wa SUA?
Maana huna mshikaji wangu alikuwa anajua username na password yangu ila nilibadilisha password faster.. So nawazia hilo maana watu hawa hawaaminiki..
Mchonde mzima mkuu!?Mods nataka kubadili jina
Mkuu hapo kashaula kama hakupata awamu hizi mbili bac inayo lazima apatewakuu kuna mdogo angu kaandikiwa ujumbe huu una maana gani? View attachment 1618187
Mkuu km una gpa above 3.5 huwez kukosa chuo sasa hujui watu wanaweza kukusaida vpHautakusaidia maishani
Bonge la kozi mkuu hongeraHii course ya 'public health and environmental science' ya Muhimbili ina mkopo kweli?
Hii inaweza kuwa na ukweli ndani yake bila shakMkuu hapo kashaula kama hakupata awamu hizi mbili bac inayo lazima apate
Narudia Tena lazma apate
Asante mkuu, maana dogo kahustle sana round zote hii itakuwa neemaMkuu hapo kashaula kama hakupata awamu hizi mbili bac inayo lazima apate
Narudia Tena lazma apate
Subiri pdf hizo ni ishara nzuri sana kuna mwanga mbeleni usife moyoAsante mkuu, maana dogo kahustle sana round zote hii itakuwa neema
Sawa mkuu... nitaleta mrejesho hapa hapa baada ya majibu.....Subiri pdf hizo ni ishara nzuri sana kuna mwanga mbeleni usife moyo
Niko main campus naendelea kulisongeshamzumbe mko wapi?
Kwanini kipi umekiona mpk unasema hayoMkuu hapo kashaula kama hakupata awamu hizi mbili bac inayo lazima apate
Narudia Tena lazma apate
Nipe ramani mkuu.. nimepata MD hapo udomUkimaliza kumpa machimbo mwambie aje hapa social block 2 nimpe raman nyingine za maisha ya UDOM
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sipo collage hiyo nipo CNMSNipe ramani mkuu.. nimepata MD hapo udom