University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Apo basi frsh
Hvyo kjna,, itakuwa mtandao tu..
Hebu nikuulize kitu.. Hv kama MTU anafahamu Username ya account yako ila password hajui anaweza kurequest password na akadistabo account husika..?
 
Maana huna mshikaji wangu alikuwa anajua username na password yangu ila nilibadilisha password faster.. So nawazia hilo maana watu hawa hawaaminiki..

Ni ngumu sababu ukiwa una request utaombwa kueka email account uliyotengenezea hiyo application acc yako au namba za simu kwa verification..
 
wakuu kuna mdogo angu kaandikiwa ujumbe huu una maana gani?
IMG_20201102_210146.jpg
 
Back
Top Bottom