University Admission Results 2020

University Admission Results 2020

Mkuu km una gpa above 3.5 huwez kukosa chuo sasa hujui watu wanaweza kukusaida vp
haya mambo yanahitaj connection kuna dogo nlimfanyia application round ya kwanza alikosa vyuo vyote but kuna mdau humuhumu jf kanisaidia round ya pili dogo kapata vyuo vyote vinne alivyo apply na ana GPA ya 3.2
 
haya mambo yanahitaj connection kuna dogo nlimfanyia application round ya kwanza alikosa vyuo vyote but kuna mdau humuhumu jf kanisaidia round ya pili dogo kapata vyuo vyote vinne alivyo apply na ana GPA ya 3.2
Ni kweli ulisemalo

Nina jamaa yangu tumealiza nae Mwaka huu
Kapiga 2.12 PCB
Round ya kwanza alikosa vyuo vyote alivyoomba
Ila Kuna jamaa kamfanyia Connection kapata Round ya pili Tena MD St Francis

Wenzake wenye 2.11wameachwa

Hii Dunia bhna

#Pesasabuniyaroho
 
Ni kweli ulisemalo

Nina jamaa yangu tumealiza nae Mwaka huu
Kapiga 2.12 PCB
Round ya kwanza alikosa vyuo vyote alivyoomba
Ila Kuna jamaa kamfanyia Connection kapata Round ya pili Tena MD St Francis

Wenzake wenye 2.11wameachwa

Hii Dunia bhna

#Pesasabuniyaroho
humu jf kuna kila aina ya connection inayo hitajika so nikua humble 2
 
haya mambo yanahitaj connection kuna dogo nlimfanyia application round ya kwanza alikosa vyuo vyote but kuna mdau humuhumu jf kanisaidia round ya pili dogo kapata vyuo vyote vinne alivyo apply na ana GPA ya 3.2
mwambie ajifunze kauli njema kwa watu atafanikiwa
 
Msaada wenu ndugu zangu wa dharura

Nina mdogo wangu amechaguliwa mipango tu kwenye 1st round aka confirme, ilipotangazwa 2nd round akaomba tena akapata aridhi university, ila aridhi wamekataa kumtumia code kwaajili ya ku confirme kwa kuwa wanasema ameshapata chuo kingine,

otherwise aombe mipango wamuondoe kwenye selection, moyo wake wote upo aridhi na iyo course aliochaguliwa chuo cha aridhi ndio ilikuwa ndoto yake kusoma, na kesho ndio mwisho wa ku confirme chuo naombeni msaada wenu kwenye ili afanyaje ili aweze kupata chuo cha aridhi.

Msaada wenu ndugu zangu wa haraka.
 
Msaada wenu ndugu zangu wa dharura

Nina mdogo wangu amechaguliwa mipango tu kwenye 1st round aka confirme, ilipotangazwa 2nd round akaomba tena akapata aridhi university, ila aridhi wamekataa kumtumia code kwaajili ya ku confirme kwa kuwa wanasema ameshapata chuo kingine,

otherwise aombe mipango wamuondoe kwenye selection, moyo wake wote upo aridhi na iyo course aliochaguliwa chuo cha aridhi ndio ilikuwa ndoto yake kusoma, na kesho ndio mwisho wa ku confirme chuo naombeni msaada wenu kwenye ili afanyaje ili aweze kupata chuo cha aridhi.

Msaada wenu ndugu zangu wa haraka.
wapigie tcu
 
Ni kweli ulisemalo

Nina jamaa yangu tumealiza nae Mwaka huu
Kapiga 2.12 PCB
Round ya kwanza alikosa vyuo vyote alivyoomba
Ila Kuna jamaa kamfanyia Connection kapata Round ya pili Tena MD St Francis

Wenzake wenye 2.11wameachwa

Hii Dunia bhna

#Pesasabuniyaroho
Dah kuna dogo mmoja ana div 2.12 pcb ameachwa round zote na hata iyo st fransis ametemwa...
 
Back
Top Bottom