Msakaa Jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,390
- 7,838
Humanities and social science mkuuUpo College gani Kwanza, Nikupe ramani na chimbo zuri la msosi ujasi!?? Mkuu
Humanities and social science mkuuUpo College gani Kwanza, Nikupe ramani na chimbo zuri la msosi ujasi!?? Mkuu
Ukimaliza kumpa machimbo mwambie aje hapa social block 2 nimpe raman nyingine za maisha ya UDOMUpo College gani Kwanza, Nikupe ramani na chimbo zuri la msosi ujasi!?? Mkuu
Nko hapaUdsm pia mko wap?

Course gan mkuu?Nko hapa![]()
Ba. In Psychology.Course gan mkuu?
hawakupi mkopo kwa kuchagua kozi kama una vigezo unapewa tu hata kama ni kozi ipiHii course ya 'public health and environmental science' ya Muhimbili ina mkopo kweli?
mambo ya ujasiriamaliUpo College gani Kwanza, Nikupe ramani na chimbo zuri la msosi ujasi!?? Mkuu
Mbeya branch.....nipo hapamzumbe mko wapi?
Asante..sio mimi ni dogo kapata hiyo...mi ni unemployed graduate.. heheheheehhawakupi mkopo kwa kuchagua kozi kama una vigezo unapewa tu hata kama ni kozi ipi
Hivi uki-apply round nyingine unalipia tena?
"You were not invoiced in our system, please re-register or constant us"
Hii imekaajeh Wakuu..?