mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Ccm wana wakati mgumu mwaka huu, kuchagua kati ya kukosa misaada au kuipoteza zanzibar.
Kuchagua mabadiliko au kuuvunja Muungano.
Ccm wana wakati mgumu mwaka huu, kuchagua kati ya kukosa misaada au kuipoteza zanzibar.
hata mi ndo nashangaa. Nkurunzinza je? mbona wamemwacha yuko madarakani na wananchi walimkataa? Museven kang'ang'ania madaraka miaka 30 sasa haaasemi kitu? akina besgye kila siku wanakamatwa kwenye kampeni wanawekwa ndani na serikali ya museven bila makosa uonevu mtupu mbona wasiseme kitu?
Umemjibu na ushahidi kabisa.., big up!
hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...
Hiyo computer ya mwaka 1995...
Sisi rafiki yetu wa kweli ni china na russia..hawa nguruwe wengine hawawezi kutuambia kitu.hzo statement wakawatolee akina kagame huko.
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...
![]()
PRESS STATEMENT
Thursday 29 October, 2015
United Kingdom statement on Zanzibar elections
The United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland is deeply concerned by the announcement of the Chairman of the Zanzibar Electoral Commission to nullify the elections. We note that all the international observers were impressed by the quality of the electoral process they witnessed. We call on ZEC to resume the results tabulation process without delay.
We congratulate the people of United Republic of Tanzania on the peaceful and enthusiastic way in which they participated in their elections.We call on all political actors to seek a solution which respects the will of the Zanzibari people as expressed in the polls on 25 October.
The United Republic of Tanzania has a well deserved reputation for peace and stability and respecting democratic principles. We urge all Zanzibaris to maintain peace and we commend the restraint they have shown so far.
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...
Ccm wana wakati mgumu mwaka huu, kuchagua kati ya kukosa misaada au kuipoteza zanzibar.
Button ya LIKE sijaiona ujue
![]()
The United Republic of Tanzania has a well deserved reputation for respecting democratic principles.