United Kingdom statement on Zanzibar elections

United Kingdom statement on Zanzibar elections

Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...
Wewe maskini utoea statement kwenye chaguzi zao???
Wenzio wanafund chaguzi zetu ndo mana tunafyata.
 
Inakera sana kuona matokeo ya zenji yanabatilishwa kirahisi hata umiss Tanzania wa Sitti ilikuwa mbinde
 
Sisi rafiki yetu wa kweli ni china na russia..hawa nguruwe wengine hawawezi kutuambia kitu.hzo statement wakawatolee akina kagame huko.

Acha ujinga wewe mrusi na Mchana waliwahi kukusaidia nini zaidi ya wachina kupora mpaka ajira za kinamama ntilie. Jaribu kutumia akiri yako Iwaze hata kidogo. Au unaishi kwa shemeji?
 
Ningeshangaa sana kama mataifa yangelifumbia macho suala hili. Watanzania tumekuwa wanyonge sana, hatuwezi kujipigania mpaka tuonewe huruma na mataifa makubwa. CCM imajivua nguo hadharani
 
unamfahamu Nkurunzinza mpendwa? hadi leo jamaa yuko madarakani hawa sijui UN, UK wamefanya nini?

Ni kweli uyasemayo 100%. Lakini ujiulize, lini ulisikia Nkurunziza kaenda UK au US au nchi yoyote ya EU. Matokeo yake Burundi ni nchi ya pili kwa umasikini duniani. Bandari ya Bagamoyo inafadhiliwa na Kingdom of Oman, hao CCM wanaosema ni mabwana wa CUF. Mimi simshangai CCM kitu chochote akisemacho. Washafikia kusema wao hawamuogopi Mungu na kama kuna mtu anayemuogopa Mungu basi atoke kwenye huu mkutano.
 
Sisi rafiki yetu wa kweli ni china na russia..hawa nguruwe wengine hawawezi kutuambia kitu.hzo statement wakawatolee akina kagame huko.

Wee kilaza,china urafiki wake ba tanzania upo wapi zaidi ya kuja kupiga dili na kujaza mimba mama ntilie tuu
 
Tamko la Mzee Mwanakijiji nimelisikia, tamko la Polepole nimelisikia pia na yote hayaeleweki.

Kuna mtu yeyote aliyesikia comment ya Jaji Warioba juu ya hili sakata!? Tafadhali atuwekee hapa.
 
Sisi rafiki yetu wa kweli ni china na russia..hawa nguruwe wengine hawawezi kutuambia kitu.hzo statement wakawatolee akina kagame huko.

Hao wachina na warusi ndo wale waliomponza mwalimu hadi ikambidi ampishe mzee ruksa kwa aibu ya kula matapishi yake. Kuna vitu vinaitwa World Bank na IMF, haipo kwa hao wakina yung ping ndo maana yule tezi dume alikuwa anakesha angani kuelekea New York wakati mitaa ya Moscow hajui hata mmoja, na kule Beijing alienda tu kwa uchungu wa mwana.
 
Huyo mboe na mbatia kama wanasema uchaguzi sio wa haki wakatae ridhaa ya ubunge waliopewa na wananchi wao
 
They are merely observers:wasitake kutuingilia kwenye chaguzi zetu
 
Kufuta uchaguzi wa Zanzibar ni maamuzi ya kihuni na inatakiwa yalaaniwe na dunia nzima. Kama CUF walishinda ilitakiwa wapewe ushindi wao. Hapo wapenda amani wote duniani inatakiwa tuungane kuwashinikiza wale wenye mamlaka kuendelea kutangaza matokeo halali ya uchaguzi wa Zanzibar.
 
unamfahamu Nkurunzinza mpendwa? hadi leo jamaa yuko madarakani hawa sijui UN, UK wamefanya nini?

Ataishia safari za Dar, Nairobi na Addis Ababa. Uzunguni hakanyaji ...........................!!
 
Huyo mboe na mbatia kama wanasema uchaguzi sio wa haki wakatae ridhaa ya ubunge waliopewa na wananchi wao

Haujui unachokiongea wewe. Kwani ulisikiliza vizuri malalamiko yao na ukayaelewa? Sometimes tafuta information na uianalyse kwanza kabla haujaandika.
 
Ukawa wanakataa natokeo ya uchaguzi inamaana hawawaamini mawakala wao walio kubali matokeo nakusaini ? waacha kulazimisha ushindi walazima.waache kuwafanya RAIA vyambo kwa tamaa za uchu wa madaraka .tunapenda nchi yetu
 
Hivi hizi statement zinatolewa na hawa watu, wao ni kama nani, tz hutoa statement kuhusu chaguzi zao, foolish...

Wana haki zote kuzungumza wanachokiona. Hata sisi hatukatazwi kuzungumzia mambo yao.
 
Hi statement mbona kila kitu ni copy na ile ya America? Kilichobadilika ni 'The United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland'
.

mwenye ile ya Ameica aiweke hapa.
 
Back
Top Bottom